MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama zawadi ya mbunge huyo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kwa familia zenye mahitaji muhimu kutokana na kiushi katika mazingira magumu , ambapo vifaa vya ndani pamoja na Tende zitatolewa kwa familia zipatazo 600 katika kata zote za jimbo hilo, huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu atoa misaada kwa watu wenye mahitaji maalum Dar
Baadhi ya misaada mbalimbali iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.(Picha zote na Khamisi Mussa).
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MBUNGE NAMELOK AGAWA MISAADA
![DSCF2464](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/LTfy9Q1YXl8vOUu98QgXND6YLF-77NkHbKt7PylKlqsFO5qJDA8XZZcbfrCRixCY09k5Ctg1mO2EDS1tumSqcqURm4c2dE4IcTGPsMhdlL_ZvBNQ7uvoDifzE7NadQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2464.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2485](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/o5kagLks97K7s9BOIOJ7XzDtHI1RLcDw7l1uMDHdoxq_iJV5Xc96jaaY80UyK993vlSc9sQujW2_bOIyx5i0KaDCb_nXwJbUP05RyGCRPnBAZ76zOr16f3myPquWPw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2485.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2533](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9_cdrJe6l69HIZjrVg3yS6g6piH-MWr0Hq8qHPUhRWWiBWawS43WMNKOvZByYEURsnGG5BqiUTwDWkQFanHszTAWtYZb9uZIRQZ8Ycs511y4PUFHcjqjERTGBSKTNQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2533.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2517](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8aKEh0n54rr4JQXxV3AgdxdCcltRuVYj9vD0xDPOrp9zbv70DqZf6PmVczOODQtXl3cPvFguJs9VxQET5YD5RF7i_cdywZtVhtu8t_Px58a2DjcSbmYABfJM7_tBiA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2517.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
MichuziMTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lkzlAq9Z6E/UxrTbgBV83I/AAAAAAAFR5k/XS2fO-BuJC0/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mwenyekiti wa CCM shina la Essex Uingereza Bibi Maryam Seif agawa misaada kwa yatima kurasini
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lkzlAq9Z6E/UxrTbgBV83I/AAAAAAAFR5k/XS2fO-BuJC0/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-88-CWoVkc40/UxrTbsz7DVI/AAAAAAAFR54/GdJISt3sBho/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qo5qFFL7Edg/UxrTb9NzD4I/AAAAAAAFR5o/7GD2AzLUy2Q/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UwIa9b-pbw/UxrTcdkdpeI/AAAAAAAFR5w/BEL-FZlrVM0/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Habarileo29 Oct
Mbunge agawa viatu kwa wanafunzi 48,600
JUMLA ya watoto 48,600 wa shule za msingi katika halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto wameanza kufaidika na mgawo wa jozi za viatu uliotolewa na Mbunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba.
10 years ago
Dewji Blog15 May
Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!
Burger bomba kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi, zenye ufahari kutoka MeTL Group.
Kampuni ya MeTL Group imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...
5 years ago
CCM Blog29 May