Mbunge agawa viatu kwa wanafunzi 48,600
JUMLA ya watoto 48,600 wa shule za msingi katika halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto wameanza kufaidika na mgawo wa jozi za viatu uliotolewa na Mbunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1itz4wE9UfM/Xn3G4tDUMYI/AAAAAAALlRY/SuZgiX6ZAWAhaF_i3S2Slhqeo4Q_7XUFQCLcBGAsYHQ/s72-c/5a019ffc-bd34-4b4a-9b31-dd0fc4832aa3.jpg)
DC KATAMBI AGAWA VIFAA TIBA 3,600 KWA AJILI YA KUPAMBANA NA CORONA
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kupambana na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amegawa vifaa kinga vya kujikinga na ugonjwa huo vipatavyo 3,600.
DC Katambi amegawa vifaa hivyo ambavyo ni vitakasa mikono 'sanitizer' kwa taasisi mbalimbali za umma, binafsi, vyama vya siasa na taasisi za Dini lengo likiwa ni kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo ndani ya Wilaya yake.
Akizungumza wakati akigawa vifaa hivyo, DC Katambi amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2_GbI-tUvw/XnC6-Xw_MlI/AAAAAAALkF0/XtLQ7bzFIqMDTTKhPPsE_sBU5pVQgycUACLcBGAsYHQ/s72-c/kairuki.png)
Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same
Na Vero Ignatus,Killimanjaro.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.
Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.
Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
5 years ago
CCM Blog29 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s72-c/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
MBUNGE MAVUNDE AGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 KWA SHULE ZOTE ZA SEKONDARI JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s640/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
Mavunde amekabidhi leo vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 2,000,000 kwa wakuu wa Shule za Sekondari katika eneo la Jiji ya Dodoma ikiwa ni siku ya kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita kurejea tena shuleni baada ya agizo la Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kuhusu kufunguliwa tena kwa...
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe jana.…
11 years ago
Michuzi03 Feb
MBUNGE NAMELOK AGAWA MISAADA
![DSCF2464](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/LTfy9Q1YXl8vOUu98QgXND6YLF-77NkHbKt7PylKlqsFO5qJDA8XZZcbfrCRixCY09k5Ctg1mO2EDS1tumSqcqURm4c2dE4IcTGPsMhdlL_ZvBNQ7uvoDifzE7NadQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2464.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2485](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/o5kagLks97K7s9BOIOJ7XzDtHI1RLcDw7l1uMDHdoxq_iJV5Xc96jaaY80UyK993vlSc9sQujW2_bOIyx5i0KaDCb_nXwJbUP05RyGCRPnBAZ76zOr16f3myPquWPw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2485.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2533](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9_cdrJe6l69HIZjrVg3yS6g6piH-MWr0Hq8qHPUhRWWiBWawS43WMNKOvZByYEURsnGG5BqiUTwDWkQFanHszTAWtYZb9uZIRQZ8Ycs511y4PUFHcjqjERTGBSKTNQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2533.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2517](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8aKEh0n54rr4JQXxV3AgdxdCcltRuVYj9vD0xDPOrp9zbv70DqZf6PmVczOODQtXl3cPvFguJs9VxQET5YD5RF7i_cdywZtVhtu8t_Px58a2DjcSbmYABfJM7_tBiA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2517.jpg?w=627&h=470)
9 years ago
Habarileo03 Dec
Mbunge agawa mbegu za tangawizi kukuza uchumi
MBUNGE wa Madaba, Songea Vijijini, Joseph Mhagama amesema njia rahisi ya kuwainua wananchi ni kutafuta mazao ambayo wakiuza yanaweza kutatua matatizo yao kwa haraka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania