Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same

Na Vero Ignatus,Killimanjaro.

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.

Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) akiwa ameshikilia Taulo laini za kike na wanafunzi wanaosoma darasa la saba katika shule mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge agawa viatu kwa wanafunzi 48,600

JUMLA ya watoto 48,600 wa shule za msingi katika halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto wameanza kufaidika na mgawo wa jozi za viatu uliotolewa na Mbunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba.

 

5 years ago

Michuzi

INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI

Editha Karlo,Kigoma.
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.

Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi wa kike wanusurika kufa kwa moto

ZAIDI ya wanafunzi 96 wa kike wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo mjini Moshi, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana mjini hapa.

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi

Angellah Jasmine Kairuki
Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde.  Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI AWAPONGEZA VIONGOZI MKOA WA SINGIDA KWA KUHIMIZA UWEKEZAJI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha kuchakata mafuta ya alizeti cha Yaza Investment kilichopo Wilaya ya Iramba mkoani hapa, Yusuph Nalompa, akizungumza mbele ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Angela Kairuki (katikati), sababu ya kiwanda hicho kushindwa kuanza uzalishaji alipokitembelea wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja ya kutembelea miradi ya uwekezaji mkoani hapa jana. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Singida,  Dk. Rehema Nchimbi. Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justine akizungumza mbele ya Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa kiwanda cha Qstek wilayani Manyoni, Singida leo.

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani