INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q3zoqSWNmwg/XmB-QT5AisI/AAAAAAALhG8/U4287njUmn0v8unmWo_YMaK0Bb5cgsEdgCLcBGAsYHQ/s72-c/c9154ec6-3537-4b73-9860-0700d23ff93b.jpg)
Editha Karlo,Kigoma.
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.
Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania
![access 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/access-1.jpg)
![aces](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/aces.jpg)
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-rOJhCplu7Ro/U3P-ucKprcI/AAAAAAAA6Kc/cQ7nr6ssZI8/s1600/PIX+1.jpg)
ACCESS BANK WATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA SEKONDARI AZANIA
9 years ago
MichuziMFUKO WA PENSHENI WA LAPF WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA SHULE YA SEKONDARI DODOMA
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Royal Women Group wakabidhi msaada wa madawati 50 na vitabu 250 kwa Shule ya Msingi Bombambili
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG-20150314-WA0006-1200x545_c.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2_GbI-tUvw/XnC6-Xw_MlI/AAAAAAALkF0/XtLQ7bzFIqMDTTKhPPsE_sBU5pVQgycUACLcBGAsYHQ/s72-c/kairuki.png)
Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.
Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
UNESCO kupitia READ INTERNATIONAL watoa msaada wa vitabu vya Sayansi kwa shule ya sekondari MWEDO Arumeru
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph akipolewa na Mwalimu wa Taalum na msimamizi wa Maktaba wa Shule ya wasichana ya Mwedo, Joseph Mangomes alipofika shuleni hapo kukabidhi msaada wa vitabu vya masomo ya Sayansi uliotolewa na Shirika la Read International kupitia UNESCO.
Na Mwandishi wetu, Arumeru
Wanafunzi wa shule ya Mwedo sekondari iliyopo wilayani Arumeru wamelishukuru Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kupitia Read International la...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0019.jpg)
UNESCO KUPITIA READ INTERNATIONAL WATOA MSAADA WA VITABU VYA SAYANSI KWA SHULE YA SEKONDARI MWEDO ARUMERU