Wanafunzi wa kike wanusurika kufa kwa moto
ZAIDI ya wanafunzi 96 wa kike wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo mjini Moshi, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziBAJAJ WALIYOIKODI WANAFUNZI WA SEKONDARY YA LOYOLA JIJINI DAR ES SALAAM YAGONGWA WANUSURIKA KUFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qswicb7Cz1c*m*NajBy1hCrIgOSrIrGPo6Yf3xpUH4he8EN*1lzmRgxJzNXemLPrTzDqspYAehOAzmKKBnV*2jT/IMG20150221WA0011.jpg)
WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MKURANGA
Gari aina ya TATA lenye namba za usajili SU 39761likiwa limehalibika vibaya baada ya ajali hiyo kutokea.…
10 years ago
GPLWAWILI WANUSURIKA KUFA KWA AJALI SINZA
Hivi ndivyo ilivyokuwa eneo la tukio. WATU wawili akiwemo dereva wa pikipiki na abiria aliyekuwa amebebwa wamenusurika leo kufa baada ya pikipiki yao kugongwa na basi la UDA maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam. (Habari/Picha: Gabriel…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*V3wp8QdkgujPy7xNw2cGp*RzQEBAghkZrDTAXVeS8ZhGVTv7EkVKEPmGGjPENXbJ0l12QbZw5UwCIwX559-bC/IMG20141213WA0003.jpg?width=650)
WANUSURIKA KUFA KWA AJALI UHASIBU TEMEKE
Gari aina ya Toyota Prado lenye namba za usajili T399 BKU likiwa uvunguni mwa roli.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0YNlownVfzPeHDaJcFSf37FxOancqEvzO8RJH6RdBdWz6bBzAZ9yNQ5cSCT42-sB08GMku259ZQ8eiRkYhIYPx/DSC012371.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar
Jengo  la ‘Block B’  la Hostel za Mabibo,  za wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), jijini hapa limeungua kwa moto na kuteketeza vifaa na mali kadhaa  za wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo.
10 years ago
GPLWATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI DAR
Mchina aliyekuwamo kwenye gari akizungumza kwa simu, pembeni yake ni askari wa usalama barabarani. Dereva wa Opa ambaye hakufahamika jina lake mara moja.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEX6eY9WdM-oY-0LTjiLAB4URm2fHf9gGW06tsRCx1ovcaS1yWu-Ax8AJo2zwDL7rbfc0fB-8aE*D3g4j0MRxYY-/IMG20141021WA0012.jpg?width=650)
WATANO WANUSURIKA KUFA KWA AJALI KIMARA, DAR
Gari aina ya Mitsubishi Canter likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo. Muonekana wa gari hilo baada ya ajali.…
10 years ago
Mwananchi10 Feb
NYANZA: Saba wanusurika kufa kwa tuhuma za kishirikina
>Watu watatu wamenusurika kuuawa, huku nyumba zao saba zikiteketezwa kwa moto katika Kitongoji cha Mereshi, Kijiji cha Robanda wilayani hapa Mkoa wa Mara, kwa tuhuma za kumtorosha kishirikina kijana mmoja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania