BAJAJ WALIYOIKODI WANAFUNZI WA SEKONDARY YA LOYOLA JIJINI DAR ES SALAAM YAGONGWA WANUSURIKA KUFA
Mwanafunzi wa Sekondary ya Loyola akipelekwa kwenye gari kuelekea Hospitali ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo mchana, baada ya bajaj yenye namba za usajili MC 402 AWD waliokuwa wameikodi na wenzake Bandarini wakitokea Zanzibar kugongwa na Pickup Double Cabin yenye namba DFPA 826 katika makutano ya barabara ya Sokoine na Azikiwe jirani na Benki ya NBC. Katika ajali hiyo wanafuzi kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali hiyo.
Wanafunzi wa shule hiyo wakimfariji mwenzao Martha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Wanafunzi wa kike wanusurika kufa kwa moto
ZAIDI ya wanafunzi 96 wa kike wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari African Muslim iliyopo mjini Moshi, wamenusurika kifo baada ya bweni walilokuwa wakilala, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana mjini hapa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s72-c/ajali(4).jpg)
COASTER YAGONGANA USO KWA USO NA LORI JIJINI DAR, WATU ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KUFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kShBUxdvNDA/VL6PKCC1FWI/AAAAAAAA3Pk/Zd2HlgbkayE/s640/ajali(4).jpg)
9 years ago
MichuziDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
10 years ago
GPLTRENI YAGONGWA NA GARI ENEO LA KARUME JIJINI DAR
10 years ago
GPLWATU WATATU WANUSURIKA KUFA KWA AJALI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEX6eY9WdM-oY-0LTjiLAB4URm2fHf9gGW06tsRCx1ovcaS1yWu-Ax8AJo2zwDL7rbfc0fB-8aE*D3g4j0MRxYY-/IMG20141021WA0012.jpg?width=650)
WATANO WANUSURIKA KUFA KWA AJALI KIMARA, DAR
9 years ago
MichuziUMOJA WA WANAFUNZI WALIOSOMA ST.JOSEPH WAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Wakizungumza nyakati tofauti wanafunzi waliosoma hapo wamewataka wanafunzi kufuata nyayo zao kutokana na shule hiyo kuwa na historia nzuri ambayo hadi sasa haijaweza kufutika.
Wamesema kuwa umoja huo utakuwa imara katika kusaidia shule hiyo katika masuala mbalimbali ikiwemo na kusaidia jamii kutokana na...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA YA JIJINI DAR-ES-SALAAM WAJIFUNZA MBINU ZA KUZIMA MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrrqnVlKl8A/ViFndvqIN_I/AAAAAAAIAfA/986W8ycdQ7g/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gOkx_yVp2e4/ViFndjviO4I/AAAAAAAIAfE/s2LVsNRNS6Y/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Tigo yadhamini shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana jijini Dar es Salaam
Meneja wa Mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani), wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana kupitia mradi wa ‘Apps & Girls’ ulio chini ya Tigo Reach For Change.
Mwanzilishi wa Apps & Girls Bi. Carolyne Ekyamsiima akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana. Mradi huu upo...