DALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI
Wananchi wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 456 BVT lililoacha njia kutokana na mwendokasi na kuparamia genge na bajaj yenye namba MC 611 ADC, maeneo ya Kitunda relini barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam leo asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa daladala kukimbilia abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.
wananchi wakiangalia ajali hiyo.
Daladala hilo likiwa ndani ya genge baada ya kuacha njia.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLDALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qvT8WTokz6dhCDcUn6FL-jOQ6AOi*vHAWqMUP7dd8qNvLxPnZ3TZf2zbFvM3ksnxUccd8dv7pF5IAejNO2mSnswZpJ-I3d8U/Newfolder1.jpg?width=650)
APIGWA RISASI ASUBUHI YA LEO, YOMBO VITUKA JIJINI DAR ES SALAAM!
9 years ago
MichuziBAJAJ WALIYOIKODI WANAFUNZI WA SEKONDARY YA LOYOLA JIJINI DAR ES SALAAM YAGONGWA WANUSURIKA KUFA
10 years ago
MichuziGARI LAACHA NJIA NA KUANGUKA KAKONKO, KIGOMA, LEO
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
11 years ago
GPLBAJAJ YA MLEMAVU ILIPOGONGA GARI MAENEO YA POSTA DAR
10 years ago
Michuzi23 Jul
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s72-c/MMGL1447.jpg)
LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s640/MMGL1447.jpg)