Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAJAJ YA MLEMAVU ILIPOGONGA GARI MAENEO YA POSTA DAR

Bajaj iliyogonga gari.
Fundi akiangalia sehemu ya gari lililogongwa.
Wapita njia wakishuhudia ajali hiyo ndogo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GARI LAGONGANA NA BAJAJ, YASABABISHA FOLENI SINZA DAR

Gari lililogongana na Bajaj likiwa kando ya barabara. Bajaj iliyogongana na gari.…

 

9 years ago

GPL

DALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR



 Wananchi wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 456 BVT lililoacha njia kutokana na mwendokasi na kuparamia genge na bajaj yenye namba MC 611 ADC, maeneo ya Kitunda relini barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam leo asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa daladala kukimbilia abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.

 wananchi wakiangalia ajali...

 

9 years ago

Michuzi

DALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM LEO ASUBUHI

 Wananchi wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 456 BVT lililoacha njia kutokana na mwendokasi na kuparamia genge na bajaj yenye namba MC 611 ADC, maeneo ya Kitunda relini barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam leo asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa daladala kukimbilia abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa. wananchi wakiangalia ajali hiyo. Daladala hilo likiwa ndani ya genge baada ya kuacha njia.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA...

 

9 years ago

Dewji Blog

Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

GARI LA KUBEBEA PESA LAPATA AJALI MAENEO YA NEW JERSEY

Gari hili lilipata ajali na drive wake kuumia vibaya na hapa kama unavyoona kikosi cha uokoaji kikifanya kazi ya kumuokoa drive wa gari hilo katika eneo la ajali iliyotokea maeneo ya New Jersey. kama ingetoakia Afrika hii mbona ingekuwa neema kwa watu wakaribu na eneo la ajali kama unavyo jua barabara nyingi upita karibu na maeneo ya makazi ya watu.Chanzo cha ajali akikueleweka bali ukodak wa Tembaphoto ukipita eneo la ajali na kupata picha hiziHii ni foleni ambayo ilisababishwa na ajali...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAPENDEZESHA BAJAJ JIJINI DAR

Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu akimweleza jambo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Global Publishers, Oscar Ndauka (kushoto) wakati  wakikagua mwonekano mpya wa Bajaj za jijini Dar. Dereva wa bajaj akiwa na afisa wa promosheni kutoka gazeti la Championi akiangalia muonekano mpya…

 

11 years ago

GPL

BAJAJ MPYA AINA YA RE4S ZAZINDULIWA JIJINI DAR

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Raymond Mushi akizindua bajaj RE4S. Kulia ni Meneja Mwandamizi wa East Africa of Bajaj, Ranjit Kakoti. Ranjit Kakoti (kulia) akimpongeza Mhe. Raymond Mushi baada ya uzinduzi huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi Dar lawamani kuachia mtuhumiwa wa kubaka mlemavu

Mratibu wa Kituo cha Usuluhishi cha Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), Gladness MunuoJeshi la Polisi Mkoa wa Ilala limelalamikiwa kwa madai ya kumkingia kifua mtuhumiwa wa ubakaji wa mtoto wenye ulemavu wa kusikia (15), lakini katika hali ya kushangaza, mtuhumiwa huyo mkazi wa Dar es Salaam (jina tunalihifadhi) ameachiwa huru kwa madai kuwa mtoto huyo ni mzoefu wa kufanyiwa vitendo hivyo.

Mtuhumiwa huyo ambaye anadaiwa kufanya kitendo hicho mwishoni mwa mwezi uliopita katika...

 

10 years ago

Michuzi

TEXAS WANYAKUA BAJAJ FAINALI ZA DIWANI CUP MIKOCHENI, DAR ES SALAAM

Mgeni rasmi, kuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sidiki (katikati) akifuatilia mechi hiyo na mwenyeji wake, Diwani wa Kata ya Mikocheni na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia).Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akikabidhi pikipiki ya matairi mawili maarufu ‘bodaboda’ kwa kiongozi wa timu ya Morning Star. Kulia kwake ni Diwani wa Mikocheni na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akikabidhi Bajaj kwa Nahodha wa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani