Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAJAJ MPYA AINA YA RE4S ZAZINDULIWA JIJINI DAR

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Raymond Mushi akizindua bajaj RE4S. Kulia ni Meneja Mwandamizi wa East Africa of Bajaj, Ranjit Kakoti. Ranjit Kakoti (kulia) akimpongeza Mhe. Raymond Mushi baada ya uzinduzi huo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Huawei yazindua simu mpya aina ya Ascend 6-inch Mate 7 jijini Dar leo

Meneja wa Kampuni ya vifaa vya teknolojia ya Huawei Tanzania, Peter Zhang (kulia) na Meneja Bidhaa wa kampuni hiyo, Joseph Lyimo (kushoto) wakionyesha simu mpya aina ya Smartphone 6-inch Ascend Mate 7 katika hafla ya uzinduzi wa simu hiyo jijini Dar es Salaam leo. Meneja wa Kampuni ya vifaa vya teknolojia ya Huawei Tanzania, Peter Zhang (kulia) na Meneja Bidhaa wa kampuni hiyo, Joseph Lyimo (katikati) wakionyesha simu mpya aina ya Smartphone 6-inch Ascend Mate 7 katika hafla ya uzinduzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mbio za Uhuru Marathon zazinduliwa rasmi leo jijini Dar

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzunduzi wa Mbio za Uhuru Marathon,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Kebby's,Mwenge jijini Dar es Salaam.Mbio hizo ambazo zinaenda sambamba na Maadhimisho ya Uhuru wa Taifa letu la Tanzania,zitafanyika Desemba 8,2014 katika viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania,Bi. Ombeni Zavala...

 

11 years ago

Michuzi

FILAMU ZA SWAHILIWOOD ZAZINDULIWA RASMI KATIKA UKUMBI WA CENTRUY CINEMAX, OYSTERBAY, JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Media For Development International (MFDI) – Tanzania Bw. John Riber akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Filamu tatu chini ya mradi wa Swahiliwood. MFDI inatambua umuhimu wa tasnia ya filamu (ambayo kwa sasa inajulikana kama Bongo movie), na sio tu kwamba ni daraja linaloelezea habari za kijamii, lakini pia kama tasnia am­bayo inaweza kuleta maendeleo na ajira kwa vijana wa Kitanzania.

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika usiku wa...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAPENDEZESHA BAJAJ JIJINI DAR

Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu akimweleza jambo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Global Publishers, Oscar Ndauka (kushoto) wakati  wakikagua mwonekano mpya wa Bajaj za jijini Dar. Dereva wa bajaj akiwa na afisa wa promosheni kutoka gazeti la Championi akiangalia muonekano mpya…

 

9 years ago

Dewji Blog

Albamu ya nyimbo za Injili ya Sogea na Baraka za Bwana zazinduliwa rasmi jijini Dar na Mhe. Angela Kairuki

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki (kushoto), akionesha DVD ya nyimbo za injili iitwayo Sogea wakati wa uzinduzi wa albamu mbili za nyimbo hizo ikiwepo na ya Baraka za Bwana zilizoimbwa na muimbaji Anna Shayo Dar es Salaam juzi. Kulia ni Mwanaharakati Hoyce Temu na mwimbaji na mmiliki wa albam hizo, Anna Shayo. Kairuki alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo.

2

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki...

 

9 years ago

GPL

DALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE NA BAJAJ MAENEO YA KITUNDA JIJINI DAR



 Wananchi wakiangalia ajali ya daladala lenye namba za usajili T 456 BVT lililoacha njia kutokana na mwendokasi na kuparamia genge na bajaj yenye namba MC 611 ADC, maeneo ya Kitunda relini barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam leo asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa daladala kukimbilia abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.

 wananchi wakiangalia ajali...

 

9 years ago

Michuzi

BAJAJ WALIYOIKODI WANAFUNZI WA SEKONDARY YA LOYOLA JIJINI DAR ES SALAAM YAGONGWA WANUSURIKA KUFA

 Mwanafunzi wa Sekondary ya Loyola akipelekwa kwenye gari kuelekea Hospitali ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo mchana, baada ya bajaj yenye namba za usajili MC 402 AWD waliokuwa wameikodi na wenzake Bandarini wakitokea Zanzibar kugongwa na Pickup Double Cabin yenye namba DFPA 826 katika makutano ya barabara ya Sokoine na Azikiwe jirani na Benki ya NBC. Katika ajali hiyo wanafuzi kadhaa walijeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali hiyo. Wanafunzi wa shule hiyo wakimfariji mwenzao Martha...

 

10 years ago

Vijimambo

BAJAJ ZILIVYO JINAFSI KIROHO SAFI JIJINI DAR KWENYE HII NI BARABARA YA SEA VIEW

Magari yapo kwenye sensa bajaji za jinafsi kiroho safi hii nikipindi hiki cha Xmas na mwaka mpya jijini Dar-Es-Salaama mambo yalikuwa hivi vibajaji vikipumua na kujinafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani