Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albamu ya nyimbo za Injili ya Sogea na Baraka za Bwana zazinduliwa rasmi jijini Dar na Mhe. Angela Kairuki

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki (kushoto), akionesha DVD ya nyimbo za injili iitwayo Sogea wakati wa uzinduzi wa albamu mbili za nyimbo hizo ikiwepo na ya Baraka za Bwana zilizoimbwa na muimbaji Anna Shayo Dar es Salaam juzi. Kulia ni Mwanaharakati Hoyce Temu na mwimbaji na mmiliki wa albam hizo, Anna Shayo. Kairuki alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo.

2

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi, Angela Kairuki...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI BONNE MWAITEGE AZINDUA ALBAMU ZAKE TATU KWA MPIGO JIJINI DAR


????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT pamoja na maaskofu wenzake wakiombea albam hizo kabla ya kuzizindua rasmi kushoto ni Alex Msama Mkurugenzi wa Kamuni ya Msama Promotion.????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT akizindua rasmi albam hizo kushoto Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama.????????????????????????????????????Maaskofu na wachungaji wakiwa wameshikilia albam zao mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion.
????????????????????????????????????Baadhi ya maaskofu na wachungaji waliohudhuria katika uzinduzi huo...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI

 Mkuu wa wilaya ya Makete mhe. Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.  Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuiza mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.…

 

10 years ago

Michuzi

Mbio za Uhuru Marathon zazinduliwa rasmi leo jijini Dar

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzunduzi wa Mbio za Uhuru Marathon,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Kebby's,Mwenge jijini Dar es Salaam.Mbio hizo ambazo zinaenda sambamba na Maadhimisho ya Uhuru wa Taifa letu la Tanzania,zitafanyika Desemba 8,2014 katika viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania,Bi. Ombeni Zavala...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Wilaya ya Makete azindua albamu ya nyimbo ya Injili wilayani hapo

DSC_0166

Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.

DSC_0132

 Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.

DSC_0134

Happy Kamili akiwajibika na wimbo wake mahiri wa Mpango wa Mungu.

DSC_0148

Msanii Aldo sanga ambaye albamu yake imezinduliwa akitoa burudani kwa mashabiki wake waliofika kushuhudia...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI WILAYANI HAPO

 Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro (kulia) akizindua albamu ya video ya msanii wa nyimbo za Injili Aldo Sanga wilayani Makete, kushoto ni MC wa shughuli hiyo Bi. Happy Ngogo.Picha na Edwin Moshi, Makete.  Mwimbaji mahiri wa nyimbo za injili Happy Kamili akitumbuisha mashabiki waliofika kwenye uzinduzi huo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Michuzi

UPENDO NKONE KUZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA "OMBA YESU ANASIKIA" JUMAPILI HII

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Upendo Nkone akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na uzinduzi wa Albanu ya nyimbo kumi ikiwa mpaka sasa ametimiza miaka kumi ya kuinjilisha kwa nyia ya nyimbo hapa nchini.
 ALBAMU ya OMBA YESU ANASIKIA kuzinduliwa Septemba 27 mwaka huu(Jumapili hii) katika kanisa la TAG  la upanga mkabala na chuo cha Uzumbe kwa Askofu  Mwanesongore.
 hayo yalisemwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Upendio Nkone wakati akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Michuzi

MSANII WA NYIMBO ZA INJILI, MKOANI IRINGA REHEMA CHAWE AACHIA ALBAMU YAKE YA GOSPEL

Muimbaji wa Nyimbo za Injili Rehema Chawe
MSANII wa nyimbo za Injili, nyanda za juu kusini Rehema Chawe ambaye ni Mwanachama wa chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA), anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza, inayoitwa Kusamehe ni afya.

Uzinduzi huo unatarajia kufanyika Jumapili, March 8, mwaka katika kanisa la EAGT, Frelimo kwa mchungaji Mwenda, ambaye ni Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste mkoani Iringa.


Akizungumza na wanahabari, Chawe alisema uzinduzi huo utapambwa na waimbaji...

 

11 years ago

Michuzi

FILAMU ZA SWAHILIWOOD ZAZINDULIWA RASMI KATIKA UKUMBI WA CENTRUY CINEMAX, OYSTERBAY, JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Media For Development International (MFDI) – Tanzania Bw. John Riber akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Filamu tatu chini ya mradi wa Swahiliwood. MFDI inatambua umuhimu wa tasnia ya filamu (ambayo kwa sasa inajulikana kama Bongo movie), na sio tu kwamba ni daraja linaloelezea habari za kijamii, lakini pia kama tasnia am­bayo inaweza kuleta maendeleo na ajira kwa vijana wa Kitanzania.

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika usiku wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani