Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu atoa misaada kwa watu wenye mahitaji maalum Dar
Baadhi ya misaada mbalimbali iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.(Picha zote na Khamisi Mussa).
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE
11 years ago
Michuzi29 Jun
Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtemvu atembelea eneo lililoungua soko la Keko
![](https://2.bp.blogspot.com/-pbWfAph_ZrE/U61Tki3hh7I/AAAAAAAAnuU/59kgxTaaXxw/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Dy3BGvdbMcM/U61Tdgpz_iI/AAAAAAAAnuE/UJlDXWwJTvg/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-YyuTklFnWOI/U61TehHBE7I/AAAAAAAAnuM/Nk2Fd51YfHk/s1600/4.jpg)
9 years ago
MichuziKesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyowailishwa na aliyekuwa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu yaanza
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mtemvu atoa msaada wa tani 5 za vyakula kwa vikundi vya wasio na uwezo Temeke, Dar
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, akimkabidhi msaada wa vyakula, Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam, wakati wa hafla ya Mtemvu kukabidhi msaada wa tani tano ya vyakula kwa vituo na vya watoto wanaoishi latika, mazingira magumu na wasiojiweza, leo Julai 13, 2014, Temeke, Dar es Salaam.
Hamisi Ally wa Kituo cha Dar Alqama, Tandika akipokea msaada huo wa vyakula kwa niaba ya kituo hicho.
Mtemvu akimkabidhi, Aminajaat Kilemia wa Kituo cha Hiari Chang’ombe msaada wa...
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQ0BzVIchVw/Xk9oIIzN6KI/AAAAAAALeno/kpOhiNhpk_saIwlppuLgoKFvKXX-5-yMgCLcBGAsYHQ/s72-c/fec2b9cf-a54a-4b9d-b607-f4b8464dc9be.jpg)
MDAU WA WATU WENYE UALBINO JOSEPH GORYO ATOA MISAADA SHULE YA MITINDO, MWANZA
MDAU mkubwa wa mambo ya jamii ikiwemo Elimu, Wanawake, Watoto na watu wenye Ualbino Joseph Goryo ametoa misaada mbalimbali shule ya msingi Mitindo iliyoko Wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Misaada hiyo maalum iliyotolewa kwa ajili ya watoto wanaolelewa shuleni hapo ni pamoja na: kandambili PC 100, mashuka 104, masweta ya shule 25, Sketi 10 na miwani kwa watoto wenye ualbino wanaolelewa na kusomea shule hiyo.
Akikabidhi misaada hiyo, Goryo amewaomba wadau mbalimbali kuitembelea shule ya msingi...
10 years ago
Habarileo18 Jul
Rais atoa mkono wa Iddi kwa wenye mahitaji maalumu
RAIS Jakaya Kikwete ametoa mkono wa Sikukuu ya Iddi kwa watu wa makundi mbalimbali wenye mahitaji maalum ikiwa ni pamoja na vituo vya watoto yatima, walemavu na wazee zawadi zenye thamani ya zaidi ya Sh 7, 420,000.
11 years ago
MichuziMTEMVU ATOA MKONO WA IDD WA VYOMBO NA SH. 10,000 KWA VIONGOZI 912 WA MATAWI YA CCM TEMEKE