Kogelo yajiandaa kumkaribisha rais Obama
Ziara ya Rais Barack Obama nchini Kenya imevutia hisia mbalimbali miongoni mwa Wakenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jul
Kenya Yajiandaa Kumpokea Rais Obama july 24 2015
![](http://i1.wp.com/teamtz.com/wp-content/uploads/2015/07/161.jpg?resize=1000%2C600)
![](http://i2.wp.com/teamtz.com/wp-content/uploads/2015/07/171.jpg?resize=536%2C346)
Mara ya kwanza Rais Barack Obama wa Marekani kwenda nchini Kenya ilikuwa mwaka 2006 akiwa Seneta, Rais Obama anatarajiwa kuwasili nchini Kenya leo Ijumaa 24/08/2015, Atatembelea mataifa mawili ya Afrika, baada ya Kenya atakwenda Ethiopia.
Julai 25 Rais Obama atahudhuria mkutano wa Global Entrepreneurship Summit, mkutano amabo unawakutanisha viongozi wa biashara, taasisi za kimataifa na serikali. Credit: TeamTz
![](http://i0.wp.com/teamtz.com/wp-content/uploads/2015/07/118.jpg?resize=543%2C346)
Kenyan artist Evans Yegon, known as “Yegonizer”, poses by one of two paintings of...
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Bibi wa Obama amtaka mjukuu wake, Kogelo
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Azam kumkaribisha Ikulu rais mpya
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TZ NCHINI URUSI, NA WA UJERUMAN NCHINI TZ NA KUMKARIBISHA MPYA WA UJERUMAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sSepww3pbMc/U9YxMYWjFxI/AAAAAAACmZk/jb6uvbQ07pA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Rais apokea salamu za pole toka kwa Rais Obama
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mchana wa Jumatatu, Novemba 24, 2014 amepokea salamu za pole kutoka kwa Rais wa Marekani Mheshimiwa Barak Obama.
Katika salamu zake Rais Obama ameelezea kufurahishwa na taarifa kwamba Rais Kikwete anaendelea vyema kiafya baada ya kufanyiwa upasuaji kwa mafanikio na kuondoa tatizo la tezi dume alilokuwa nalo.
Rais Obama amesema katika salamu hizo kuwa alipata heshima kufanya ziara rasmi nchini Tanzania mwaka 2013, na...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)