Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya Yajiandaa Kumpokea Rais Obama july 24 2015


Mara ya kwanza Rais Barack Obama wa Marekani kwenda nchini Kenya ilikuwa mwaka 2006 akiwa Seneta, Rais Obama anatarajiwa kuwasili nchini Kenya leo Ijumaa 24/08/2015, Atatembelea mataifa mawili ya Afrika, baada ya Kenya atakwenda Ethiopia.
Julai 25 Rais Obama atahudhuria mkutano wa Global Entrepreneurship Summit, mkutano amabo unawakutanisha viongozi wa biashara, taasisi za kimataifa na serikali. Credit: TeamTz
Kenyan artist Evans Yegon, known as “Yegonizer”, poses by one of two paintings of...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kogelo yajiandaa kumkaribisha rais Obama

Ziara ya Rais Barack Obama nchini Kenya imevutia hisia mbalimbali miongoni mwa Wakenya.

 

10 years ago

TheCitizen

Barack Obama’s visit to Kenya tops July Google internet search

The top searched term was ‘Obama in Kenya’ as the country hosted President Obama in his maiden visit as the first US head of state to set foot on Kenyan soil.

 

10 years ago

Dewji Blog

Top jobs for this week Friday July 9th, 2015-Wednesday July 16th 2015

vacancies

COMPANY NAME            JOB LINK

1.Elite Career Choices    http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-quality-control-manager

2.Bank of Tanzania (BoT)   http://www.brightermonday.co.tz/jobs/estate-officer-iii

3. Sugar Board of Tanzania http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-human-resources-administration-officer-ii-1-post

4. AGP Tax & Accounting Consultants http://www.brightermonday.co.tz/jobs/itsocial-media-specialist

5. Meyer Enterprises Limited...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA


Video kwa hisani ya VOA

 

10 years ago

BBCSwahili

ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA YAKAMILIKA

Rais Barrack Obama wa Marekani amewahutubia Wakenya leo jumapili katika uwanja wa michezo wa Kasarani nje kidogo ya mji wa Nairobi na vilevile kuzungumza na viongozi wa makundi ya kijamii katika chuo Kenyatta Jijini nairobi..

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA AWASILI NCHINI KENYA

 Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi.
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku. Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta. mwendo wa saa mbili na robo rais Obama alitua ndege yake. Alipowasili alizungumza kwa muda mfupi na mwenyeji wake rais Kenyatta na kisha kutia saini kitabu cha wageni kabla ya kuondoka. Obama sasa ameandikisha historia ya kuwa rais wa kwanza wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI KENYA

Rais Barrack Obama wa Marekani anaanza rasmi ziara yake ya siku tatu nchini Kenya baada ya kuwasili siku ya ijumaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani