ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI KENYA
Rais Barrack Obama wa Marekani anaanza rasmi ziara yake ya siku tatu nchini Kenya baada ya kuwasili siku ya ijumaa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jul
10 years ago
BBCSwahili26 Jul
ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA YAKAMILIKA
Rais Barrack Obama wa Marekani amewahutubia Wakenya leo jumapili katika uwanja wa michezo wa Kasarani nje kidogo ya mji wa Nairobi na vilevile kuzungumza na viongozi wa makundi ya kijamii katika chuo Kenyatta Jijini nairobi..
10 years ago
Vijimambo11 Jul
10 years ago
VijimamboWANAHABARI WA VOA WATINGA NAIROBI, KENYA KUHABARISHA ZIARA YA OBAMA NCHINI HUMO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s72-c/Obama-flight-610x374.jpg)
RAIS OBAMA AWASILI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5FDYD6Z7VM/VbKEAwrTK5I/AAAAAAABSm8/srTeCABTo1c/s640/Obama-flight-610x374.jpg)
Ndege iliyombeba rais obama ilitua katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta muda mfupi baada ya saa mbili za usiku. Alipowasili Rais Obama amelakiwa na mweyeji wake Rais Uhuru Kenyatta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-k-zeETXiuk8/VbKEAw-XWfI/AAAAAAABSnI/wtn4tVZwT18/s640/PC_150724_ko5sb_obama-kenya-arrivee_sn635.jpg)
11 years ago
Michuzi11 Jul
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKiV3vp8hlo/VhGnjnyR_3I/AAAAAAAH828/UPi-Ue9NmYs/s72-c/IMGS0573.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KUAGA NCHINI KENYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKiV3vp8hlo/VhGnjnyR_3I/AAAAAAAH828/UPi-Ue9NmYs/s640/IMGS0573.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vjqhVbLQOeo/VhGnjTcJIRI/AAAAAAAH820/IOzekAkUrO8/s640/IMGS0579.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gItssmTGk6U/VhGnjPqG8LI/AAAAAAAH82w/7UGFp0ah2es/s640/IMGS0585.jpg)
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Zmd1BZIEiYM/VhGnkgwmqHI/AAAAAAAH83E/V99JQPTnTDU/s640/IMGS0596.jpg)
RAIS KIKWETE KATIKA ZIARA YA KUAGA NCHINI KENYA
Rais Kikwete akishuka katika ndege Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto…
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania