Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UJIO WA OBAMA NCHINI KENYA NI ZAIDI YA KAWAIDA.


Hapa ni kiwanja cha chuo kikuu huko Kenya Habari ndiyo hii.

 

10 years ago

Africanjam.Com

US PRESIDENT BARACK OBAMA ALREADY IN KENYA FOR A TWO DAYS VISIT

Barack Obama has arrived in Kenya on the first visit to his ancestral home as serving US president.During his two-day visit Mr Obama will hold talks with Kenyan President Uhuru Kenyatta and other top officials.
Trade will feature strongly, but Mr Obama also said he would deliver a "blunt message" to African leaders about gay rights and discrimination.The trip to Kenya and then Ethiopia is also designed to show US commitment to fighting terror in East Africa.BBC Africa Live updates from...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS WHAT MAKES BARACK OBAMA'S FAMILY IN KENYA FURIOUS


President Barack Obama announced that he would be visiting Kenya later in July. One would assume that he would be visiting his family… But that is NOT the case.In fact, according to a new report, his family wasn’t even informed of details of the trip.The Daily Mail reports that 57-year old Malik Abon’go Obama, his half brother, is still waiting to be informed:


“From what I hear, he is coming now as the president of the United States,” said Obama’s half-brother Malik Abon’go Obama. “He should...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS HOW MUCH SAUTI SOL WAS PAID TO PERFORM FOR PRESIDENT BARACK OBAMA IN KENYA..


The Kenyan famous music group "Sauti Sol" had an opportunity to perform for President Barack Obama during his tour in Kenya. Sauti Sol made a perfect performance that made Barack Obama dance the Lipala dance.

You may think that this music group was paid millions for that performance but the truth is 
 they did it for free or in other words they earned 0.00 in terms of money. You think that may be it wasn't right but that performance will take them way too far in the International...

 

10 years ago

Bongo5

Get to know how much Sauti Sol was paid to perform for President Barack Obama in Kenya

The most successful Kenyan band, Sauti Sol has been trending this week since their performance at the State House dinner event hosted by President Uhuru Kenyatta, in honor of President Obama’s visit to Kenya last weekend. Although some people may have thought the band was paid millions for the performance, but the truth is the […]

 

10 years ago

TheCitizen

Barack Obama’s visit to Kenya tops July Google internet search

The top searched term was ‘Obama in Kenya’ as the country hosted President Obama in his maiden visit as the first US head of state to set foot on Kenyan soil.

 

10 years ago

Africanjam.Com

MUST WATCH VIDEO: BARACK OBAMA GREET THE PEOPLE OF KENYA IN SWAHILI "NIAJE WAZEE"


US President Obama who is currently in Kenya for a two days visit spoke to Kenyans earlier today.

He spoke about his tour in Kenya and be proud to be the first US President to visit Kenya.

What came out to be interesting is the way he greet Kenyans in Swahili saying "NIAJE WAZEE"

which is the street language of saying hello!





Watch the 28 seconds video below






Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA ATEMBELEA UBALOZI WA ZAMANI WA MAREKANI ULIOLIPULIWA MWAKA 1998 NAIROBI KENYA.

 Wananchi wa Kenya wakiwa na shauku ya kumwona Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama alipotembelea Ubalozi wa zamani wa Marekani uliolipuliwa mwaka 1998 jijini Nairobi nchini Kenya. Wananchi Kenya wakiwa na furaha ya kumwona Rais Barack Obama alipotembelea jengo la Ubalozi wa Marekani nchini Kenya lililolipuliwa mwaka 1998. Watu ni wengi kweli kweli wakiwa na shauku ya kumowna Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama ambaye ameandika historia mpya ya Rais wa kwanza wa Marekani aliyemadarakani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani