Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAHABARI WA VOA WATINGA NAIROBI, KENYA KUHABARISHA ZIARA YA OBAMA NCHINI HUMO

Kutoka kushoto ni Mohammed Mahmoud, Mwamoyo Hamza na Amos Wangwa wanahabari wa Voice of America (VOA) wakiwa katika picha ya pamoja mjini Nairobi nchini Kenya kuhabarisha yanayojiri katika ziara ya Rais wa Wamarekani Mhe. Barack Obama anayefanya ziara nchini Kenya.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

ZIARA YA RAIS OBAMA NCHINI KENYA

Rais Barrack Obama wa Marekani anaanza rasmi ziara yake ya siku tatu nchini Kenya baada ya kuwasili siku ya ijumaa.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONDOKA NCHINI VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI NCHINI HUMO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kushoto), Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Mussa Azzan Zungu (kulia), Mbunge wa Tumbe Mhe Rashid Ally Abdallah (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Jenerali (Mst.) Abdulrahman Shimbo muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku sita nchini...

 

9 years ago

Michuzi

JK ZIARANI KENYA, AAGANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI HUMO

 Rais Kikwete akipokea zawadi yake wakati wa hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya walipoandaa  shughuli hiyo mahususi ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi Jumapili usiku. Mapaparazi hawakosekani kwenye shughuli kama hizi.... Rais Kikwete akiwa na wanachama wa Jumuiya ya Kinamama wa Tanzania waishio Kenya RAis Kikwete akiwa na viongozi wa jumuiya Rais Kikwete akiwa na wanafunzi wa Tanzania wasomao Kenya Rais...

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS BARACK OBAMA ATEMBELEA UBALOZI WA ZAMANI WA MAREKANI ULIOLIPULIWA MWAKA 1998 NAIROBI KENYA.

 Wananchi wa Kenya wakiwa na shauku ya kumwona Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama alipotembelea Ubalozi wa zamani wa Marekani uliolipuliwa mwaka 1998 jijini Nairobi nchini Kenya. Wananchi Kenya wakiwa na furaha ya kumwona Rais Barack Obama alipotembelea jengo la Ubalozi wa Marekani nchini Kenya lililolipuliwa mwaka 1998. Watu ni wengi kweli kweli wakiwa na shauku ya kumowna Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama ambaye ameandika historia mpya ya Rais wa kwanza wa Marekani aliyemadarakani...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA


Video kwa hisani ya VOA

 

10 years ago

BBCSwahili

Ziara ya Obama:Anga ya Kenya kufungwa

Shirika linalosimamia safari za ndege nchini Kenya, KCAA, limetangaza kuwa anga ya Kenya itafungwa kwa muda wa dakika hamsini siku ya Ijumaa wiki hii ili kuruhusu ndege ya rais wa Marekani Barrack Obama kutua katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Ke

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama: Ziara itaathiri usalama Kenya ?

Je ziara ya rais wa Marekani Barack Obama itaathiri sera za usalama za Kenya ?.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani