Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
Viongozi wa Mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za kumkabidhi madaraka rais mpya wa Jamhuri ya Malawi hii leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Nov
Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu
RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.
11 years ago
Dewji Blog31 May
Malawi yapata Rais mpya
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya kuapishwa rasmi kwa Peter Mutharika (pichani) wa chama cha DPP na makamu wake.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7
Mwenyekiti wa tume ya...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais mpya wa Malawi achukua mamlaka
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbaeOWEHh6ue892JDRcjWr910pk6bhZ0jjSuKjwSwjrxBlnHbWIOKzJJ90PiTBw7kQt0zeecz6ZDZAtcSwt87jvaW/malawi.jpg?width=650)
RAIS MPYA WA MALAWI ACHUKUA MAMLAKA
11 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya
POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Rais Kikwete akusudia kushika chaki tena
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anakusudia kurejea darasani kushika tena chaki kwa kuwa mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi – National Defence College (NDC) cha Dar Es Salaam.
Rais Kikwete amelieleza hilo mchana wa leo, Ijumaa, Juni 20, 2014, wakati...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s72-c/m2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s1600/m2.jpg)