WAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefarikii dunia tarehe 09 mei, 2014 Jijini na Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa tarehe 14 Mei, 2014. Mhe. Membe anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi hayo.
Balozi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p8ra8ed2akk/U9Cv3cYIBkI/AAAAAAAF5cs/7eC-gnLBu3U/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-p8ra8ed2akk/U9Cv3cYIBkI/AAAAAAAF5cs/7eC-gnLBu3U/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fX9mOK88sVw/U9Cv3wAUhcI/AAAAAAAF5cw/-2d81mH5D7A/s1600/unnamed+(6).jpg)
11 years ago
Michuzi12 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A3513-2.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s640/F87A3513-2.jpg)
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE NA MKEWE WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI WA MALAWI FLOSSIE CHIDYAONGA
11 years ago
Dewji Blog13 May
Rais Kikwete atoa heshima za mwisho kwa mwili wa Balozi wa Malawi Dar Es Salaam leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga leo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s72-c/AAAA%2B3034.jpg)
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho
![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s1600/AAAA%2B3034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XVc4SJ4l_MY/VQlCeDZ2OYI/AAAAAAAAb1Y/Hl2ThUch93E/s1600/AAAA%2B3151.jpg)
9 years ago
Vijimambo31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, Balozi wa Tanzania nchini Malawi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q1eunWqqZEw/VgM8lyqpl_I/AAAAAAAH6_8/JsqFP8DJPr0/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Mhe PINDA AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI MAMA VICTORIA MWAKASEGE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q1eunWqqZEw/VgM8lyqpl_I/AAAAAAAH6_8/JsqFP8DJPr0/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WcJOLBgdEks/VgM8l6hyMvI/AAAAAAAH6_4/x1FjrMS9dyk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dsS1KSaAR2Y/VgM8l7d3QfI/AAAAAAAH7AA/IUI4mt6uNHY/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi31 Oct
Ujumbe wa maafisa kutoka Tanzania wamtembelea Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege, nchini Malawi
Ujumbe huo wenye maafisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Ofisi ya Rais –Utumishi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Wizara ya Fedha, Clinton Health Access Initiative (CHAI), na Mpango wa Taifa wa Kuthibiti UKIMWI (National Aids...