WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-p8ra8ed2akk/U9Cv3cYIBkI/AAAAAAAF5cs/7eC-gnLBu3U/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Seneta wa Kirinyaga, Daniel Dickson Karaba baada ya kuwasili wenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya Julai 23, 2014 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano maalum wa nchi za maziwa makuu kuhusu kupambana na tatizo la ajira kwa vijana unaotarajiwa kufanyiaka Julai 24, 2014.Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya,Mh. Batilda - Sarha Burhan
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AMWAKILISHA RAIS KIKIWETE KWENYE MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI -NAIROBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s72-c/unnamed+(16).jpg)
MH. PINDA AHUDHURIA MKUTANO WA MAZIWA MAKUU JIJINI NAIROBI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano Maalum wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji, uliofanyika kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi Julai 24, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Batilda Burian na wapili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--x9B1wA6kY0/VAB_1o_HddI/AAAAAAAGT0w/sa97IT-f8KE/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HfULSMZVqrw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YIFxXfdeNDM/VTpjNxuBuPI/AAAAAAAHS-M/wK7buTADjik/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AWASILI MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YIFxXfdeNDM/VTpjNxuBuPI/AAAAAAAHS-M/wK7buTADjik/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyTCU5OQJzM/VTpjONN4VGI/AAAAAAAHS-I/YSffn4W0gd8/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Apr
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AWASILI MKOANI DODOMA
![waz1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/waz1.jpg)
![waz2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/waz2.jpg)