Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano Maalum wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji, uliofanyika kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi Julai 24, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Batilda Burian na wapili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s72-c/unnamed+(16).jpg)
MH. PINDA AHUDHURIA MKUTANO WA MAZIWA MAKUU JIJINI NAIROBI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p8ra8ed2akk/U9Cv3cYIBkI/AAAAAAAF5cs/7eC-gnLBu3U/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-p8ra8ed2akk/U9Cv3cYIBkI/AAAAAAAF5cs/7eC-gnLBu3U/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fX9mOK88sVw/U9Cv3wAUhcI/AAAAAAAF5cw/-2d81mH5D7A/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu afungua Mkutano wa Kamati ya Ukaguzi ya Nchi za Maziwa Makuu
BOFYA HAPA...
9 years ago
MichuziBalozi Mulamula afungua Mkutano wa Asasi za Kiraia wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HkFEzRB98LOf0is2XWbOIBWQySqKnBDn1QM5lhEiFxqL7gYKXUwkt7rn-KrEsqBoVJON2Ww-TEqkLAoefCSCpEUy5kDmwxQ8/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA 9 WA WAKE WA MARAIS KUHUSU KANSA HUKO NAIROBI
11 years ago
Dewji Blog24 Jun
Pinda ahudhuria mkutano wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia nchini Ndugu Philippe Dongier.
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo aliwaeleza waandishi hao...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)
kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AONGOZA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA PEMBE YA AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA KUZUIA NA KUDHIBITI UZAGAAJI WA SILAHA HARAMU (RECSA), ZANZIBAR LEO