Pinda ahudhuria mkutano wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia nchini Ndugu Philippe Dongier.
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo aliwaeleza waandishi hao...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jun
Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-GceeY8hOFPo/U6l0uvTQipI/AAAAAAAAPCI/Npz6JYsAL-A/s1600/13.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-xZcLiJnA44w/U6l05D0wcaI/AAAAAAAAPCQ/nuDj13bMuSo/s1600/14.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Mama Tunu Pinda ahudhuria mkutano wa dunia kuhusu Amani na Usalama jijini Seoul, Korea Kusini
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akitambulishwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama ulioanza leo (Agosti 10, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. Wengine kutoka kushoto ni Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak, Rais wa WFWP (International), Prof. Yeon Choi Moon, Waziri Mkuu wa Timor Mashariki, Xanana Gusmao na mke wa Rais wa visiwa vya Samoa, Bibi Filifilia Tamasese (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akiwa na...
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Pinda ahudhuria mkutano wa Maziwa Makuu Nairobi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini tamko la Mkutano Maalum wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) kuhusu mikakati ya kutatua tatizo la ajira kwa vijana kupitia Uendelezaji Miundombinu na uwekezaji, uliofanyika kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi Julai 24, 2014. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Batilda Burian na wapili kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s72-c/unnamed+(16).jpg)
MH. PINDA AHUDHURIA MKUTANO WA MAZIWA MAKUU JIJINI NAIROBI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fcqFBU8UzrA/U9EJCBplRxI/AAAAAAAF5xM/f5rXTtiBn08/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BZ1ZNu1X1T8/U3vic_o1ToI/AAAAAAAFkDw/gU5cm4KbIa8/s72-c/unnamed+(39).jpg)
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum ahudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika Rwanda
![](http://2.bp.blogspot.com/-BZ1ZNu1X1T8/U3vic_o1ToI/AAAAAAAFkDw/gU5cm4KbIa8/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-effGvYwjfHw/U3vic455PWI/AAAAAAAFkD8/XyEBte1dOc8/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qQN2Hi4VyPQ/U3vidMERCTI/AAAAAAAFkD0/6gPIFYXl9Yk/s1600/unnamed+(41).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Pinda akutana na ujumbe wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati,baada ya mazungumzo kati yake na ujumbe wa Benki hiyo mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati (kulia) baada ya...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Pinda afungua mkutano wa magavana wa benki ya PTA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Biashara, Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) kwenye kituo cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaaam August 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
VijimamboMkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika- Benki ya Dunia
10 years ago
MichuziMkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika- Benki ya Dunia waendelea leo
Katika mikutano hii wanazungumzia zaidi masuala ya sera za kibenki na mambo ya utawala kama vile ajira , uchaguzi wa wenyeviti wa mikutano hiyo na kamati mbalimbali. Mkutano huo...