Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum ahudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika Rwanda
![](http://2.bp.blogspot.com/-BZ1ZNu1X1T8/U3vic_o1ToI/AAAAAAAFkDw/gU5cm4KbIa8/s72-c/unnamed+(39).jpg)
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali, Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-effGvYwjfHw/U3vic455PWI/AAAAAAAFkD8/XyEBte1dOc8/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qQN2Hi4VyPQ/U3vidMERCTI/AAAAAAAFkD0/6gPIFYXl9Yk/s1600/unnamed+(41).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA SALUM MKUYA KATIK MKUTANO WA MAJUMUISHO NA IMF, BENKI YA DUNIA WASHINGTON DC MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-U7ySRAhdeeQ/VThVMQUZgaI/AAAAAAAHSrU/Q0msbW4tHvU/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQg5nHgm1YU/VThVNKUO2TI/AAAAAAAHSsQ/ZkcSx-Vy7Hk/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PVoMLlxmnXo/VaQlhgjkOUI/AAAAAAAHpfE/oZDifPe-RmI/s72-c/s.jpg)
WAZIRI SAADA MKUYA SALUM AMWAKILISHA RAIS KIKWETE MKUTANO WA UFADHILI WA MAENDELEO ADDIS —ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PVoMLlxmnXo/VaQlhgjkOUI/AAAAAAAHpfE/oZDifPe-RmI/s640/s.jpg)
11 years ago
Dewji Blog20 May
Waziri wa Fedha ahudhuria mkuatano wa mwaka wa benki ya Maendeleao ya Afrika (AfDB) unaofanyika mjini Kigali — Rwanda
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
Mh.Saada M.Salum akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA) Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount Muhambara – Kigali Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RSXewLRlyUs/VTNqk6Tvu7I/AAAAAAAHR9I/dbGAhIYs4fg/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na ujumbe wake akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Afrika, uongozi wa mfuko Changamoto za Milenia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RSXewLRlyUs/VTNqk6Tvu7I/AAAAAAAHR9I/dbGAhIYs4fg/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)
Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly wa katikati mwenye Tai ya rangi ya chungwa akiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa na ujumbe kutoka Tanzania( hawapokwenyepicha)mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wakiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC
Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Waziri wa fedha Saada Salum Mkuya akutana na Joly wa (IMF) pamoja na Larose wa (WB)
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia wa kundi namba 1 Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose ofisini kwake mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia wa kundi namba 1 Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile , Bw. Beda Shallanda Kamishina wa Sera na Bw. Paul...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s72-c/SAADA_CHEQUE.jpg)
WAZIRI WA FEDHA SAADA MKUYA SALUM AZINDUA BODI YA PPF NA MAFAO MAPYA YA MFUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s640/SAADA_CHEQUE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vgiKwffKIQ/VdxulzLOAtI/AAAAAAAAYPA/nEXGSCmyiRY/s640/Saada%2Bhotuba2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tavPmNpAseA/VXRpSfZ7nzI/AAAAAAAHcwE/k_lHx38E_oI/s72-c/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA, MHE. SAADA MKUYA SALUM (MB) ALIYOIWASILISHA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tavPmNpAseA/VXRpSfZ7nzI/AAAAAAAHcwE/k_lHx38E_oI/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum azindua bodi mpya ya PPF na mafao mapya ya mfuko huo
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya PPF na Mafao Mapya ya Mfuko huo Dar es Salaam jana.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni moja, mwanachama wa mfuko huo, Sara Haule kama malipo ya fao la uzazi katika hafla ya uzinduzi wa bodi hiyo sanjari na uzinduzi wa fao la uzazi.
Waziri Fedha, Saada Mkuya akipeana mkono wa pongezi Mwanachama wa mfuko huo, Caroline Kiswaga, baada ya...