Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.
Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia nchini Ndugu Philippe Dongier
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo aliwaeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog24 Jun
Pinda ahudhuria mkutano wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari nje ya Hotel ya Serena ambapo alihudhuria Mkutano wa Tano unaohusu masuala ya Uchumi,kulia kwake ni mkurugenzi wa benki ya Dunia nchini Ndugu Philippe Dongier.
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Philippe Dongier akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa kivukoni Serena Hotel jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mwandishi wa Mada Ndugu Jacques Morisset ambapo aliwaeleza waandishi hao...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s72-c/657998666.jpg)
Waziri Mkuu Pinda mgeni rasmi mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza uwekezaji DART leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-D6JF_691IYA/U4xAQvQSiKI/AAAAAAAFnMU/6GwyUi0gCFs/s1600/657998666.jpg)
Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje kwenye kituo cha mikutano Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam (DART), Bi. Asteria Mlambo, amewaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa mkutano huo wa...
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMEg3JkJgg/XlpouShYxiI/AAAAAAALgIQ/OhJgsn2PH7cw9EIwIcqX5n0fOr3yr_OJACLcBGAsYHQ/s72-c/98187af8-e45f-4bef-9220-2c2cc6833f3c.jpg)
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632o71u3idbabg4Y0AsFnkyy*wUepC6*xm0uNY2OGtiMztqy*8W1k4*Ff0EZmDUKGyUeQb0CdcVKXgEu0R1lxRxI0/PINDA.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU PINDA AHUDHURIA JUBILEI YA ASKOFU MKUU NGALALEKUMTWA WA IRINGA
11 years ago
Michuzi30 Jul
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Mama Tunu Pinda ahudhuria mkutano wa dunia kuhusu Amani na Usalama jijini Seoul, Korea Kusini
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akitambulishwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Dunia kuhusu Amani na Usalama ulioanza leo (Agosti 10, 2014) jijini Seoul, Korea Kusini. Wengine kutoka kushoto ni Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak, Rais wa WFWP (International), Prof. Yeon Choi Moon, Waziri Mkuu wa Timor Mashariki, Xanana Gusmao na mke wa Rais wa visiwa vya Samoa, Bibi Filifilia Tamasese (PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM).
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akiwa na...
10 years ago
Michuzi17 Feb
NHIF YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI WASIO KATIKA SEKTA RASMI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/157.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BZ1ZNu1X1T8/U3vic_o1ToI/AAAAAAAFkDw/gU5cm4KbIa8/s72-c/unnamed+(39).jpg)
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum ahudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika Rwanda
![](http://2.bp.blogspot.com/-BZ1ZNu1X1T8/U3vic_o1ToI/AAAAAAAFkDw/gU5cm4KbIa8/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-effGvYwjfHw/U3vic455PWI/AAAAAAAFkD8/XyEBte1dOc8/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qQN2Hi4VyPQ/U3vidMERCTI/AAAAAAAFkD0/6gPIFYXl9Yk/s1600/unnamed+(41).jpg)