Rais mpya wa Malawi achukua mamlaka
​Maelfu ya watu wamehudhuria sherehe za kukabidhiwa mamlaka kwa Rais mpya Peter Mutharika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbaeOWEHh6ue892JDRcjWr910pk6bhZ0jjSuKjwSwjrxBlnHbWIOKzJJ90PiTBw7kQt0zeecz6ZDZAtcSwt87jvaW/malawi.jpg?width=650)
RAIS MPYA WA MALAWI ACHUKUA MAMLAKA
11 years ago
Dewji Blog31 May
Malawi yapata Rais mpya
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya kuapishwa rasmi kwa Peter Mutharika (pichani) wa chama cha DPP na makamu wake.
Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7
Mwenyekiti wa tume ya...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s72-c/m2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s1600/m2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-2pq6Wx7OwCc/VHVYQDC78AI/AAAAAAAGzck/6LxWKmN8CnE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Lo2LyK2Wcs/VHVYNtCTW9I/AAAAAAAGzbk/fl6mz5DcyDE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciOEscgBYB4/VHVYNIkGfEI/AAAAAAAGzbc/R9SokN-5kPw/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...
10 years ago
Vijimambo15 Mar
‘MAASKOFU HATUNA MAMLAKA YA KUWAAMULIA WAUMINI KUHUSU KATIBA MPYA’ - PENGO
UFUATAO ni ujumbe mfupi wa Muadhama Polycarp Kardinali Pengo alioutoa leo katika Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam kuhusiana na waraka wa maaskofu uliotolewa hivi karibuni kwa Wakristo nchini kujiandikisha kikamilifu na kisha kuikataa Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya maoni kwa vile haikujadiliwa kiuadilifu.
"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamulia/kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu katiba, kuwaamulia ni kuwadharau kuwa...