Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS MPYA WA MALAWI ACHUKUA MAMLAKA

Rais Mutharika akikagua gwaride katika uwanja wa Kamuzu. Maelfu ya watu wamehudhuria sherehe za kukabidhiwa mamlaka kwa Rais mpya Peter Mutharika.
Bwana Mutharika, alishinda uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi jana. Uchaguzi huo ulikumbwa na madai ya wizi wa kura. Rais anayeondoka madalakani Joyce Banda, alishika nafasi ya tatu katika idadi ya kura za urais.
Viongozi kadhaa kutoka Afrika walihudhuria sherehe hizo katika uwanja wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Malawi achukua mamlaka

​Maelfu ya watu wamehudhuria sherehe za kukabidhiwa mamlaka kwa Rais mpya Peter Mutharika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Malawi yapata Rais mpya

peter-mutharika-court-600x295

Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya kuapishwa rasmi kwa Peter Mutharika (pichani) wa chama cha DPP na makamu wake.

Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa nne na asilimia 13.7

Mwenyekiti wa tume ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria

Viongozi wa Mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za kumkabidhi madaraka rais mpya wa Jamhuri ya Malawi hii leo.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefarikii dunia tarehe 09 mei, 2014 Jijini na Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa tarehe 14 Mei, 2014. Mhe. Membe anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi hayo. 
Balozi wa...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI KATIKA SHEREHE ZA UHURU WA MSUMBIJI

 Ndege zikipita na kuchora rangi za bendera za Msumbiji jana wakati wa maadhimisho ya miaka 40 ya Uhuru wa msumbiji jana. Askari wa Msumbiji wakishuka na mwavuli wakati wa sherehe za uhuru(picha na Freddy Maro).Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Malawi Profesa Peter Mutharika wakitoka katika uwanja wa michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji baada ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 40 ya uhuru wa Msumbiji jana.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika aliyemtembelea kumjulia hali kwenye hoteli ya Ritz Carlton katika kitongoji cha George Town jijini Washington DC, Marekani, ambapo wote walikuwa wamefikia. Rais Kikwete na Rais Mutrharika, ambao walikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani, walifanya maongezi mafupi yasiyo rasmi, ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI MPYA ZIWA NYASA


 Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema  (Aliyevaa tai) akiwapa maelezo  wajumbe wa Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo sehemu inapojengwa gati mpya (halionekani) katika Bandari ya Kiwira. Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipata fursa ya kujionea meli pekee inayotoa huduma ya kusafirisha abiria na mizigo (MV Songea) katika Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania. Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini  ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...

 

10 years ago

Vijimambo

‘MAASKOFU HATUNA MAMLAKA YA KUWAAMULIA WAUMINI KUHUSU KATIBA MPYA’ - PENGO

Muadhama Polycarp Kardinali Pengo.
UFUATAO ni ujumbe mfupi wa Muadhama Polycarp Kardinali Pengo alioutoa leo katika Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam kuhusiana na waraka wa maaskofu uliotolewa hivi karibuni kwa Wakristo nchini kujiandikisha kikamilifu na kisha kuikataa Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya maoni kwa vile haikujadiliwa kiuadilifu.

"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamulia/kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu katiba, kuwaamulia ni kuwadharau kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani