Rais Kikwete akusudia kushika chaki tena
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anakusudia kurejea darasani kushika tena chaki kwa kuwa mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi – National Defence College (NDC) cha Dar Es Salaam.
Rais Kikwete amelieleza hilo mchana wa leo, Ijumaa, Juni 20, 2014, wakati...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jun
Kikwete akusudia kuwa mhadhiri
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, amesema anatarajia kurejea darasani kushika tena chaki, kwa kuwa Mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2285500/highRes/729583/-/maxw/600/-/g4ntor/-/jk+clip.jpg)
Rais Kikwete afunguka tena
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ewGCFiR_-IQ/Xq76WbEtmhI/AAAAAAALo9c/LG5-jCRsrnICBfKOLVd6tgh-XyeRzFYnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...-2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Sio kila anayeshika chaki ni mwalimu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s72-c/_75408959_450202030.jpg)
Ingizo jipya katika kombe la dunia Brazil: alama ya chaki ya kupulizia inayoyeyuka....
![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s1600/_75408959_450202030.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0XDp8HFEIQk/U5pn7pYAJeI/AAAAAAAFqP4/0xxWNM6zoFA/s1600/_75493664_hi022659618.jpg)