Kikwete akusudia kuwa mhadhiri
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, amesema anatarajia kurejea darasani kushika tena chaki, kwa kuwa Mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Rais Kikwete akusudia kushika chaki tena
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anakusudia kurejea darasani kushika tena chaki kwa kuwa mhadhiri kwenye Chuo cha Taifa cha Ulinzi – National Defence College (NDC) cha Dar Es Salaam.
Rais Kikwete amelieleza hilo mchana wa leo, Ijumaa, Juni 20, 2014, wakati...
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Kichekesho JK kukosoa tume — Mhadhiri
KATIBU wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Faraja Kristomus, amesema ni kichekesho kwa Rais Jakaya Kikwete kukosoa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Kristomus alitoa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Mhadhiri raia wa Ujerumani afa ajalini
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Mhadhiri UDSM ataka kumrithi Komba
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MHADHIRI Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Taasisi ya Taaluma na Maendeleo, Dk. Stephen Maluka, ametangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Nyasa (Mbinga Magharibi) mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Oktoba mwaka huu.
Dk. Maluka mwenye Shahada ya Uzamivu ya Afya ya Jamii aliyopata nchini Sweden, amejitosa kugombea jimbo hilo ambalo awali lilijulikana kama Mbinga Magharibi na lilikuwa likiongozwa na marehemu Kapteni John...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mhadhiri UDSM atajwa Urais kupitia NCCR
VIJANA wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamempendekeza Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk George Kahangwa (46) kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho, atakayeshindanishwa na wagombea wengine wa kambi ya upinzani, endapo wataamua kuungana kwa mwavuli wa umoja wao waliouanzisha.