Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Ross Kinemo amesema Muungano wa Serikali unaopendekezwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya unafanana na muungano uliopo katika Nchi za Marekani, India, Canada na hata Uswisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
MBUNGE JUMAA AUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUTOA MSAADA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JoL_OHySIU8/XpmctUeKLyI/AAAAAAALnPE/jxcMe6P3SXMo2L8JW8tbHPN0kwTIUGA_gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114235_1587113051819.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ctH1abdBvEo/XpmctFhtojI/AAAAAAALnPA/E7zy-WB8ghglZDw_r4sRKxVtRATo3nXTQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200417-114918_1587113403210%2B%25281%2529.png)
Ndoo hizo pamoja na sabuni zimekabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Mlandizi ili zisambazwe kwenye vituo vya Afya, Zahanati zote ,kwa wafanya biashara sokoni pamoja Standi ili kupambana na homa ya Corona.
Jumaa aliwataka wananchi wa...
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Kiongozi wa Taleban aunga mkono amani
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mansour aunga mkono msimamo wa Moyo
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Rais wa Colombia aunga mkono Bhangi
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQQOk2uB1i30KA11Njs3*p6rvrr-21qIFfARrPt4ifiwCh0FyI8UABbzRef0U8H3QrxEhOKklZutGNEEfWKp1Fp/DEVOTHA.jpg)
DEVOTHA AUNGA MKONO UTABIRI VIFO VYA WASANII
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
9 years ago
StarTV24 Dec
Mchakato Kuinunua Simba Tarimba aunga mkono dhamira ya Dewji.
Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, Abbas Tarimba ameunga mkono dhamira ya Mohamed Dewji kutaka kuinunua klabu ya Simba akisema hiyo ndiyo njia pekee kuinusuru Simba ambayo inazidi kupoteza dira katika ulimwengu wa soka la kimtaifa.
Tarimba ana uzoefu wa kushindwa na pale alipotaka kuifanya Yanga imilikiwe na kampuni lakini akakumbana na vikwazo .
Hicho ndicho kinachotaka kumtokea Mohamed Dewji ambaye anataka kuinunua klabu ya Simba.
Tarimba anasema wanachama wa Simba na Yanga wameshindwa...