Mchakato Kuinunua Simba Tarimba aunga mkono dhamira ya Dewji.
Rais wa zamani wa klabu ya Yanga, Abbas Tarimba ameunga mkono dhamira ya Mohamed Dewji kutaka kuinunua klabu ya Simba akisema hiyo ndiyo njia pekee kuinusuru Simba ambayo inazidi kupoteza dira katika ulimwengu wa soka la kimtaifa.
Tarimba ana uzoefu wa kushindwa na pale alipotaka kuifanya Yanga imilikiwe na kampuni lakini akakumbana na vikwazo .
Hicho ndicho kinachotaka kumtokea Mohamed Dewji ambaye anataka kuinunua klabu ya Simba.
Tarimba anasema wanachama wa Simba na Yanga wameshindwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Oct
Mohammed Dewji anataka kuinunua klabu ya Simba, kuwekeza bilioni 20
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Shabiki mkongwe wa Simba amuomba MO kuendeleza mpango wake wa kuinunua Simba
Pichani ni Mohammed Dewji alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuu. Kulia ni Nyange Kaburu. (Picha na Maktaba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mmoja wa mashabiki wa wakongwe wa klabu ya Simba, Stanbul Mponda amemuomba Bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ kuendeleza mipango yake ya kuinunua Simba ili aweze kufanya uwekezaji kama alivyokuwa amepanga awali.
Mponda ameyasema hayo ikiwa ni siku chache zimepita za tarehe ya mwisho...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mansour aunga mkono msimamo wa Moyo
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Rais wa Colombia aunga mkono Bhangi
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Kiongozi wa Taleban aunga mkono amani
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai