Kiongozi wa Taleban aunga mkono amani
Kiogozi wa kundi la Taliban nchini Afghanistan Mullah Omar ameunga mkono mazungumzo ya amani na serikali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Kiongozi wa Taleban huko Qatar ajiuzulu
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mansour aunga mkono msimamo wa Moyo
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Rais wa Colombia aunga mkono Bhangi
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai
11 years ago
GPLDEVOTHA AUNGA MKONO UTABIRI VIFO VYA WASANII
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.