Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki

Habari kutoka kwa serikali ya Afghanistan zimeiambia BBC kuwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji wa Taliban, Mullah Omar amefariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taleban laondoka mazungumzoni

Wawakilishi wa Taleban wakasirishwa na hatua ya serikali ya Pakistan kuchelewesha mazungumzo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Taleban huko Qatar ajiuzulu

Kiongozi wa ofisi ya kisiasa ya kundi la wapiganaji wa Taliban huko Qatar, amejiuzulu jambo linalothibitisha mgawanyiko ndani ya kundi hilo , kufuatia kifo cha kiongozi wao Mullah Omar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Taleban aunga mkono amani

Kiogozi wa kundi la Taliban nchini Afghanistan Mullah Omar ameunga mkono mazungumzo ya amani na serikali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Muasisi wa kundi la muziki Ladysmith Black Mambazo Joseph Shabalala amefariki dunia

Mwanamuziki huyo alianzisha kikundi cha kwaya maarufu duniani kutoka nchini Afrika Kusini na kukiongoza kwa muda wa miaka 50.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa kundi la waasi auawa Syria

Kiongozi wa kundi moja kuu la waasi nchini Syria ameuawa kwenye shambulio la angani katika viunga vya mji wa Damascus.

 

10 years ago

Michuzi

Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume kugombea udiwani kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke

Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume na Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe kinachosimamia bendi ya vijana machachari wa Yamoto, Saidi Fella leo amechukua fomu ya kuomba kugombea udiwani katika kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke, jijini Dar es salam.Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugombea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. "Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero za kata yangu, hapa kuna shida ya maji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20

Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani