Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la Taleban laondoka mazungumzoni

Wawakilishi wa Taleban wakasirishwa na hatua ya serikali ya Pakistan kuchelewesha mazungumzo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki

Habari kutoka kwa serikali ya Afghanistan zimeiambia BBC kuwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji wa Taliban, Mullah Omar amefariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Ukraine laondoka mji wa vita

Rais wa Ukraine Petro Poroshenko amesema kuwa majeshi ya Ukraine yanakaribia kumaliza mipango yake ya kuondoka mji wa Debaltseve

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taleban yashambulia bunge la Afghanistan

Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.

 

11 years ago

BBCSwahili

Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20

Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama

 

11 years ago

Mwananchi

Ni vita ya Taleban, Mpira Pesa

>Vita kubwa imeibuka katika harakati za uchaguzi wa viongozi wa Simba, huku matawi ya Taleban na Mpira Pesa yakianza kuonyeshana ubavu kwa kunadi wagombea wanaowania urais, Michael Wambura na Evans Aveva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgogoro wa uongozi wakumba Taleban

Msemaji wa baraza kuu la kundi la Taliban nchini Afghanistan ameimbia BBC kuwa hawakuombwa ushauri wakati wa uteuzi wa hivi majuzi wa kiongozi mpya kufuatia kifo cha mwanzilishi wake Mullar Omar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Taleban lawakata vidole waliopiga kura

Maafisa nchini Afghanistan wanasema kuwa watu 11 wamefariki baada ya gari lao kazkazini mwa taifa hilo kukanyaga bomu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani