Taleban yashambulia bunge la Afghanistan
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Sep
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Bunge la Afghanistan lashambuliwa
Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi la bunge Afghanistan lasitishwa
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS
Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20
Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Kundi la Taleban laondoka mazungumzoni
Wawakilishi wa Taleban wakasirishwa na hatua ya serikali ya Pakistan kuchelewesha mazungumzo.
11 years ago
Mwananchi13 May
Ni vita ya Taleban, Mpira Pesa
>Vita kubwa imeibuka katika harakati za uchaguzi wa viongozi wa Simba, huku matawi ya Taleban na Mpira Pesa yakianza kuonyeshana ubavu kwa kunadi wagombea wanaowania urais, Michael Wambura na Evans Aveva.
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki
Habari kutoka kwa serikali ya Afghanistan zimeiambia BBC kuwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji wa Taliban, Mullah Omar amefariki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania