Bunge la Afghanistan lashambuliwa
Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 May
Bunge la Somalia lashambuliwa
Milipuko na risasi zimesikika huku majengo ya bunge la Somalia yakishambuliwa mjini Mogadishu wabunge wakiwa ndani kwa mkutano.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Taleban yashambulia bunge la Afghanistan
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi la bunge Afghanistan lasitishwa
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa imefanikiwa kusitisha shambulio katika bunge na kuweza kuwaua washambuliaji wote.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s72-c/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
GAZETI JINGINE LA UJERUMANI LASHAMBULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s1600/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/11/150111071704_hamburger_morgenpost_editorial_office_in_hamburg_northern_germany_640x360_epa_nocredit.jpg)
Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa kumekuwa na shambuli la kuchoma moto ofisi za gazeti ambalo lilichapisha vibonzo kutoka kwa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
Mawe na vitu vinavyowaka moto vilirushwa katika dirisha la ofisi za gazeti la Hambuger Morgenpost mapema leo Jumapili.
Vyumba viwili kwenye afisi hizo viliharibiwa lakini moto huo ulizimwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Soko la Nguo lashambuliwa Nigeria
Kwa mujibu wa maafisa wakuu wa mlipuko wa bomu hilo ulitokea eneo ambako mizigo inapakiwa, katika soko la nguo la Kantini Kwari mjini Kano.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s72-c/kalandinga.jpg)
Basi la mahabusu lashambuliwa Dar
Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s1600/kalandinga.jpg)
Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oGJ9Q2KWB1I6y-BSQ9WrAThNy9uF2OTwrrXGd--xFMa6a-O7hW62*TX5rbtmp5iUfS27FKrBUl*Ju82XJbwgoz/breakingnews.gif)
BASI LA MAGEREZA LASHAMBULIWA DAR
BASI la Jeshi la Magereza lililokuwa na mahabusu likitokea Mahakama ya Kawe jijini Dar es Salaam, limeshambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki. Inadaiwa kuwa watu hao walitaka kumdhuru mtu aliyekuwa kwenye gari lililokuwa mbele ya basi hilo. Walipoliona basi hilo wakadhani kuwa lazima kutakuwa na askari wenye silaha ndipo wakalishambulia. Katika shambulio hilo, dereva wa basi na askari mmoja wamejeruhiwa na...
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Gazeti jengine la Ujerumani lashambuliwa
Polisi nchini Ujerumani wanasema kumekuwa na shambulizi la kuchoma gazeti ambalo lilichapisha vibonzo vya Charlie Hebdo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania