GAZETI JINGINE LA UJERUMANI LASHAMBULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s72-c/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
Gazeti jengine la Ujerumani lashambuliwa
Gazeti la Humburger Post lililoshambuliwa kwa kuchapisha vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed.
Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa kumekuwa na shambuli la kuchoma moto ofisi za gazeti ambalo lilichapisha vibonzo kutoka kwa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
Mawe na vitu vinavyowaka moto vilirushwa katika dirisha la ofisi za gazeti la Hambuger Morgenpost mapema leo Jumapili.
Vyumba viwili kwenye afisi hizo viliharibiwa lakini moto huo ulizimwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Gazeti jengine la Ujerumani lashambuliwa
10 years ago
GPLMWANDISHI WA UJERUMANI ALIFAGILIA GAZETI LA ‘UWAZI’
11 years ago
BBCSwahili24 May
Bunge la Somalia lashambuliwa
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Bunge la Afghanistan lashambuliwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oGJ9Q2KWB1I6y-BSQ9WrAThNy9uF2OTwrrXGd--xFMa6a-O7hW62*TX5rbtmp5iUfS27FKrBUl*Ju82XJbwgoz/breakingnews.gif)
BASI LA MAGEREZA LASHAMBULIWA DAR
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s72-c/kalandinga.jpg)
Basi la mahabusu lashambuliwa Dar
Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s1600/kalandinga.jpg)
Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Soko la Nguo lashambuliwa Nigeria
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Maghorofa janga jingine