Maghorofa janga jingine
Dar es Salaam. Licha ya ujenzi maghorofa marefu kutajwa kuwa kielelezo cha maendeleo katika miji mikubwa, jijini Dar es Salaam hali ni tofauti kutokana na hofu iliyopo kuhusu ubora wa majengo hayo, mfumo wa majitaka, mipango miji na ukosefu wa maeneo ya maegesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Aliyekiuka ujenzi maghorofa Ilemela ‘hakamatiki’
SAKATA la ukiukwaji wa taratibu za ujenzi wa maghorofa matatu eneo la Nyasaka limeingia katika su
Mwandishi Wetu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBk1USLqPKmJK-IT6yo8CwTSKuOkOAUZ0FWyNobu9sQoIqAkvfjw23VyDVvSBdcc-Y8Gs7PiJ4Er*NioGUKW1C6/mbu.png?width=650)
GONJWA JINGINE LAIBUKA BONGO
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Bomu jingine lajeruhi 17 Arusha
MATUKIO ya milipuko ya mabomu yameendelea kulitikisa Jiji la Arusha baada ya watu 17 waliokuwa wakiangalia mpira kwenye baa ya Arusha Night Park, iliyopo maeneo ya Mianzini kujeruhiwa vibaya na...
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Polisi wagundua bomu jingine
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s72-c/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
GAZETI JINGINE LA UJERUMANI LASHAMBULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s1600/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/11/150111071704_hamburger_morgenpost_editorial_office_in_hamburg_northern_germany_640x360_epa_nocredit.jpg)
Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa kumekuwa na shambuli la kuchoma moto ofisi za gazeti ambalo lilichapisha vibonzo kutoka kwa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
Mawe na vitu vinavyowaka moto vilirushwa katika dirisha la ofisi za gazeti la Hambuger Morgenpost mapema leo Jumapili.
Vyumba viwili kwenye afisi hizo viliharibiwa lakini moto huo ulizimwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tetemeko jingine lakumba mji wa Nepal
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Wachimbaji Geita waomba eneo jingine
WACHIMBAJI wadogo wanaochimba katika Kijiji cha Isamolo Kata ya Kamhanga wilayani Geita wameiomba Serikali kuwatafutia maeneo mengine kwani walilopewa halina dalili yoyote ya kupata dhahabu. Akizungumza na Waandishi wa Habari...
9 years ago
Bongo507 Dec
Arsenal yapata pigo jingine jipya
![hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north-300x194.jpg)
Klabu ya Arsenal itamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwakani, meneja wake, Arsene Wenger ameleeza.
Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya Hispania, aliumia goti wakati wa mchezo kati ya Arsenal na Norwich ulioisha kwa sare ya 1-1. Klabu hiyo tayari ina majeruhi kiungo wao mwingine wa kati Francis Coquelin atakayekaa nje miezi mitatu baada ya kuumia goti.
Beki wa kati Laurent Koscielny na mshambuliaji Theo Walcott wameshapona majeraha yao na watarejea uwanjani.
Alexis...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kalenga ni fundisho jingine kwa CHADEMA
NI mara ya tatu sasa nakiasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuangalia pale kilipojikwaa badala ya kuangalia kilipoangukia. Kitakapoangalia pale kilipojikwaa kitaepuka kuanguka tena pindi kitakapopita njia ile. Aprili...