Wachimbaji Geita waomba eneo jingine
WACHIMBAJI wadogo wanaochimba katika Kijiji cha Isamolo Kata ya Kamhanga wilayani Geita wameiomba Serikali kuwatafutia maeneo mengine kwani walilopewa halina dalili yoyote ya kupata dhahabu. Akizungumza na Waandishi wa Habari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wachimbaji wadogo waomba eneo la mgodi
WACHIMBAJI wadogo wa dhahabu katika machimbo madogo ya Mwanshina katika Kijiji cha Nhobola wilayani Nzega mkoani Tabora, wameiomba serikali kuwapatia kibali cha kuchimba dhahabu pembezoni mwa mgodi mkubwa wa Resolute...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wachimbaji wadogo waomba ruzuku
Na Angela Sebastian, Kyerwa
WACHIMBAJI wadogo wanaojihusisha na uchimbaji wa madini ya bati katika mgodi wa Nyaruzumbula, uliko kijijini Kabingo, wameiomba serikali kuwapatia ruzuku.
Lengo la ruzuku hiyo ni kutaka kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo bei ndogo ya madini hayo na utoroshwaji unaofanywa na wananchi wasiokuwa wazalendo.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya, Luten Kanali Benedict Kitenga, mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alipofanya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DO641Iekr6Y/XpwxXfMQsRI/AAAAAAALnag/MNSpJSdkiukqotPO83HnaBNfWVWNYy7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-Na-2AAA-1-768x512.jpg)
Wachimbaji Wadogo wa Madini Manyoni Waomba kupatiwa Umeme
![](https://1.bp.blogspot.com/-DO641Iekr6Y/XpwxXfMQsRI/AAAAAAALnag/MNSpJSdkiukqotPO83HnaBNfWVWNYy7JgCLcBGAsYHQ/s640/Picha-Na-2AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-Na-1-2-1024x683.jpg)
Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Mjiolojia Chone Malembo (kulia)akibadilishana mawazo na mmiliki wa mgodi wa Paulo Msalaba na Washirika, Martin Thomas (kushoto) katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-Na-3-1-1024x683.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wachimbaji wadogo wanusurika kifo Geita
9 years ago
StarTV30 Nov
Wachimbaji wadogo watano wafariki Geita
Wachimbaji wadogo watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na vifusi katika maeneo ya Mgusu na Nyanza mkoani Geita.
Matukio hayo yametokea kwa nyakati tofauti ambapo wachimbaji kumi waliingia eneo la Nyanza majira ya saa tisa novemba 28 na wakiwa katika harakati za uchimbaji wakaangukiwa na kifusi huku usiku wa novemba 29 tukio hilo limetokea mgusu na kusababisha wachimbaji hao kufariki.
Maeneo ya Nyanza na Mgusu wanayoingia wachimbaji wadogo kwa ajili ya kujitafutia dhahabu yako chini ya...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Serikali kuwapatia eneo wachimbaji wadogo Nzega
SERIKALI imeahidi wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo wa dhahabu Mwanshina wilayani Nzega, mkoani Tabora kuwapatia leseni ya uchimbaji, ikiwemo kuwapatia eneo maalumu la kuchimba.
10 years ago
StarTV03 Feb
Wachimbaji Geita watakiwa kuondolewa ndani ya siku saba
Na Salma Mrisho,
Geita.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa ametoa siku saba kwa ofisi ya madini mkoani humo kuhakikisha wachimbaji wadogo waliovamia na kufanya shughuli zao katika vyanzo vya maji wanahamishwa mara moja.
Mkuu wa Mkoa ameeleza kuishangaa ofisi ya madini kwa kushindwa kutimiza wajibu wake na kuwaacha wachimbaji hao wakizidi kuharibu vyanzo vya maji vinavyohatarisha afya ya watumiaji wa maji kutokana na matumizi ya zebaki wanayotumia katika uchenjuaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
NHIF waomba kutengewa eneo Mwanza
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeiomba Serikali ya Mkoa wa Mwanza kuupatia eneo la kujenga kitega uchumi chake ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Ombi hilo lilitolewa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Magufuli-akihutubia-nyomi-la-watu-lililofurika-katika-Kijiji-cha-Nkome-Geita-Vijijini.jpg)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WAVUVI, WACHIMBAJI WADOGOWADOGO MWANZA NA GEITA