Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF waomba kutengewa eneo Mwanza

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeiomba Serikali ya Mkoa wa Mwanza kuupatia eneo la kujenga kitega uchumi chake ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Ombi hilo lilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wachimbaji Geita waomba eneo jingine

WACHIMBAJI wadogo wanaochimba katika Kijiji cha Isamolo Kata ya Kamhanga wilayani Geita wameiomba Serikali kuwatafutia maeneo mengine kwani walilopewa halina dalili yoyote ya kupata dhahabu. Akizungumza na Waandishi wa Habari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachimbaji wadogo waomba eneo la mgodi

WACHIMBAJI wadogo wa dhahabu katika machimbo madogo ya Mwanshina katika Kijiji cha Nhobola wilayani Nzega mkoani Tabora, wameiomba serikali kuwapatia kibali cha kuchimba dhahabu pembezoni mwa mgodi mkubwa wa Resolute...

 

10 years ago

Dewji Blog

NHIF waomba wadau zaidi kuomba mikopo ya vifaa tiba

DSC07056

Meneja wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki,akitoa nasaha zake muda mfupi kabla hajamkaribisha kaimu katibu tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba,kufungua mafunzo ya siku moja kuhusu mikopo ianayotolewa na NHIF kwa watoa huduma katika vituo vya afya vya serikali,mashirika ya dini na binafsi yaliyosajiliwa.Wa pili kulia (aliyeketi) ni kaimu Katibu tawala mkoa wa Singida Aziza Mumba na wa kwanza kushoto ni Kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Mgetta.

Na...

 

11 years ago

GPL

SHEREHE ZA MEI MOSI MWANZA WAFANYAKAZI WAOMBA KODI IPUNGUZWE

 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
 Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza .…
...

 

11 years ago

GPL

BOMOABOMOA ENEO LA KAMANGA, MWANZA

Taswira za bomoabomoa vibanda vya Machinga eneo la Kamanga jijini Mwanza. (Picha na Mdau wa Global WhatsApp 0753 715 779 kutoka mkoani Mwanza)

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka ahadi za Rais kutengewa mfuko maalumu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Martha Mlata (CCM) ametaka ahadi za Rais zitengewe mfuko maalumu ili ziweze kutekelezeka kwa wakati.

 

9 years ago

Mtanzania

Wasanii Afrika Mashariki kutengewa saa moja ya MTV Base

Wasanii - DiamondJULIET MORI (TUDARCO)

KITUO cha MTV Base kimezindua kipindi kipya kitakachokuwa kikishughulika na wasanii wa Afrika Mashariki kwa kuwahoji na kujua mazingira wanayokutana nayo katika kazi zao kwa ujumla.

Mtandao wa Ghafla Kenya umeeleza kwamba kipindi hicho cha saa moja kitaangalia zaidi maisha ya msanii kiundani na namna anavyoweza kupata kitakachoangalia maisha ya msanii kwa kumtambulisha kiundani, namna anavyoweza kupata mafanikio na aina ya muziki anayofanya.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto), akisadiwa na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, kukata utepe kuzindua filamu mpya iitwayo ‘I Love Mwanza’ iliyoandaliwa na Lake Zone Youth Empowerment Foundation kwa kushirikiana na Tropical Media Tanzania Ltd, katika hafla iliyofanyika jijini Mwanza Jumamosi usiku. Wanaoshuhudia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wa watatu kushoto), na Mwenyekiti wa Chama cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani