BOMOABOMOA ENEO LA KAMANGA, MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBInc3YDbGGaJXk5PGC1fgLwUdekiCLgvEVlRCUMT7jk24tGUu3390y2yG5mOcZUOe5G0zatxb8zSGkSo*8IfuFjT/BOMOABOMOA.jpg?width=650)
Taswira za bomoabomoa vibanda vya Machinga eneo la Kamanga jijini Mwanza. (Picha na Mdau wa Global WhatsApp 0753 715 779 kutoka mkoani Mwanza)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
NHIF waomba kutengewa eneo Mwanza
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeiomba Serikali ya Mkoa wa Mwanza kuupatia eneo la kujenga kitega uchumi chake ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Ombi hilo lilitolewa...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
TANROADS kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kamanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GXC3j4jtx5Y/VoJUd1byVWI/AAAAAAAIPIo/B70c1VSXlfg/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika eneo hilo.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza Mhandisi Leonard Kadashi alipokuwa akizungumza na Mwandishi wa Habari ofisi kwake kutolea ufafanuzi suala la Barabara ya Kamanga Ferry mpaka Sengerema ambayo haipo katika hali nzuri na kusema mkandarasi yupo na...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH-bP5VICnay7MrfvYvOYLOvgNUJ5LvU1h1O3re*dQa29ybVcserO46Q4uCLjOnuCyXB362UsFcD-2BKT4S1MJLN/1KKOO2.jpg?width=650)
BOMOABOMOA KARIAKOO
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Bomoabomoa kupingwa mahakamani
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Bomoabomoa yanukia Kariakoo
Na Christina Gauluhanga, DAR ES SALAAM
MANISPAA ya Ilala imetoa siku saba kwa wamiliki wa nyumba, maduka, gereji bubu, sehemu za maegesho kuhakikisha wanaondoka katika maeneo waliyovamia kabla bomoabomoa haijawakumba.
Pia imeipa Mamlaka ya Maji Safi na Taka (DAWASCO) siku saba kuhakikisha inaunganisha mabomba ya maji taka yaliyopasuka, na kuondoa kero ya kusambaa mitaani.
Mkurugenzi wa Ilala, Isaya Mngurumi, alikuwa akizungumza Dar es Salaam jana alipotoa tathimini ya usafi katika...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Bomoabomoa yatua mahakama kuu