Bomoabomoa yasitishwa
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (Nemc), imesitisha ubomoaji wa nyumba zilizojengwa katika Bonde la Mto Msimbazi ili kuwapa nafasi wakazi kuhama na kuokoa mali zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bomoabomoa yasitishwa Dar es Salaam
Mawakili wa upande wa serikali na walalamikaji wakiandaa nakala zao kabla ya madai hayo kusikilizwa.
Wakazi wa Kinondoni wakipongezana baada ya kupokea taarifa za kusitishwa kwa bomoabomoa kwenye makazi yao.
Askari wakidumisha usalama.
MAHAKAMA ya Ardhi jijini Dar imesimamisha zoezi la bomoabomoa iliyowakumba wakazi maeneo ya mabondeni wa Wilaya ya Kinondoni baada ya wakazi hao kufikisha ombi hilo mahakamani hapo mapema wiki iliyopita.
Ombi hilo lilitokana na malalamiko ya wakazi wengi...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Polisi Jamii yasitishwa Kariakoo
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Huduma ya Texi yasitishwa Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Shuguli ya kuitafuta MH370 yasitishwa
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Matokeo ya uchaguzi yasitishwa Zambia
9 years ago
Habarileo08 Nov
Matumizi ya picha ya Rais yasitishwa
SERIKALI imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli katika ofisi za umma na wananchi kwa ujumla.
9 years ago
Habarileo26 Dec
Operesheni kuondoa wafugaji yasitishwa
MAWAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi na wa Maliasili na Utalii, wameonya askari wa Wanyamapori wanaojihusisha na utesaji, unyanyasaji na kujipatia fedha haramu kwa kukamata mifugo au wakulima, waache mara moja badala yake, wazingatie maadili ya kazi yao.
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3