Huduma ya Texi yasitishwa Ujerumani
Mahakama moja nchini Ujerumani imepiga marufuku huduma ya bei nafuu ya texi ya Uberpop kwa kuwa inakiuka sheria za uchukuzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Maonyesho ya dereva wa texi Kenya
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
DEREVA TEXI ALIYEPOTEA AKUTWA AMEKUFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s1600/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
BAADA ya dereva wa Texi Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani kupotea kwa siku nane amepatikana akiwa ameuwawa na kuporwa gari alilokuwa akiliendesha.
Marehemu ambaye alikuwa akifanyia shughuli zake kwenye kituo kikuu cha Mabasi cha Maili Moja wilayani humo alipotea Agosti 6 Mwaka huu majira ya saa 1 usiku alipokodishwa na watu wawili wasio fahamika waliojifanya kuwa ni wateja.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s72-c/tex.jpg)
DEREVA TEXI ATOWEKA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s1600/tex.jpg)
DEREVA wa Texi wa Maili Moja Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodishwa na watu wasiofahamika.
Ponera alikodishwa na watu wawili ambao hawakufahamika Agosti 5 mwaka huu majira ya saa 2:30 usiku akiwa anaendesha gari lenye usajili na T 905 BHT aina ya Corolla nyeupe.
Akizungumza na mjini Kibaha kuhusina na tukio hilo katibu wa Umoja wa madereva Texi Kibaha Mjini (KITAGURO) Fadhil...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Shuguli ya kuitafuta MH370 yasitishwa
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Polisi Jamii yasitishwa Kariakoo
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Matokeo ya uchaguzi yasitishwa Zambia
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bomoabomoa yasitishwa Dar es Salaam
Mawakili wa upande wa serikali na walalamikaji wakiandaa nakala zao kabla ya madai hayo kusikilizwa.
Wakazi wa Kinondoni wakipongezana baada ya kupokea taarifa za kusitishwa kwa bomoabomoa kwenye makazi yao.
Askari wakidumisha usalama.
MAHAKAMA ya Ardhi jijini Dar imesimamisha zoezi la bomoabomoa iliyowakumba wakazi maeneo ya mabondeni wa Wilaya ya Kinondoni baada ya wakazi hao kufikisha ombi hilo mahakamani hapo mapema wiki iliyopita.
Ombi hilo lilitokana na malalamiko ya wakazi wengi...