Maonyesho ya dereva wa texi Kenya
Msanii mmoja jijini Nairobi ameamua kuwaandama na kusimulia hadithi za madereva wa taxi kupitia picha .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
DEREVA TEXI ALIYEPOTEA AKUTWA AMEKUFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0O8FKf2MnY/U-zg2vOZdYI/AAAAAAAF_q8/575lpAvP_8E/s1600/Screen%2BShot%2B2014-08-14%2Bat%2B7.14.39%2BPM.png)
BAADA ya dereva wa Texi Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani kupotea kwa siku nane amepatikana akiwa ameuwawa na kuporwa gari alilokuwa akiliendesha.
Marehemu ambaye alikuwa akifanyia shughuli zake kwenye kituo kikuu cha Mabasi cha Maili Moja wilayani humo alipotea Agosti 6 Mwaka huu majira ya saa 1 usiku alipokodishwa na watu wawili wasio fahamika waliojifanya kuwa ni wateja.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s72-c/tex.jpg)
DEREVA TEXI ATOWEKA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WUGwjeHD96Y/U-dPYbBz9pI/AAAAAAAF-Mk/KruFsP76Cg8/s1600/tex.jpg)
DEREVA wa Texi wa Maili Moja Richard Ponera (36) mkazi wa Mwendapole wilayani Kibaha mkoani Pwani amepotea katika mazingira ya kutatanisha baada ya kukodishwa na watu wasiofahamika.
Ponera alikodishwa na watu wawili ambao hawakufahamika Agosti 5 mwaka huu majira ya saa 2:30 usiku akiwa anaendesha gari lenye usajili na T 905 BHT aina ya Corolla nyeupe.
Akizungumza na mjini Kibaha kuhusina na tukio hilo katibu wa Umoja wa madereva Texi Kibaha Mjini (KITAGURO) Fadhil...
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Dereva aliyesafirisha jeneza feki akamatwa Kenya
Watu hao walifanikiwa kuhadaa polisi kwa kutumia jeneza tupu kupita vizuizi kadhaa njiani.
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Huduma ya Texi yasitishwa Ujerumani
Mahakama moja nchini Ujerumani imepiga marufuku huduma ya bei nafuu ya texi ya Uberpop kwa kuwa inakiuka sheria za uchukuzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0002.jpg)
MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI
AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SVnhQRl7f_s/U8MpNw8KauI/AAAAAAAAHNA/yjxs_y3Uczw/s72-c/Kenya+mambo+Poa.jpg)
Mahojiano na washiriki wa maonyesho ya Utamaduni wa Kenya hapa Washington DC
![](http://4.bp.blogspot.com/-SVnhQRl7f_s/U8MpNw8KauI/AAAAAAAAHNA/yjxs_y3Uczw/s1600/Kenya+mambo+Poa.jpg)
Zaidi ya washiriki 100 kutoka nchini Kenya...
10 years ago
VijimamboTanzania yawa kivutio katika Maonyesho ya Afrika Mashariki yanayofanyika Nairobi Nchini Kenya
10 years ago
Michuzi06 Aug
BALOZI MDOGO WA KENYA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA SIMBA CEMENT KATIKA MAONYESHO YA NANE NANE ARUSHA
![IMG_1853](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/HRmjuMY9YOTbSvwEV6cS5KL8f2wcV9WfoU-Ajv3vf2eZz4WAQlalIqzYA2LBLND6tyBme2HOORaHm13oIi2D0n990S3zJWFg-HAzgHIxxaYKffylLHRUFE8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/img_1853.jpg?w=660)
![IMG_1863](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/RFZYXKQVlc_OR1OmpbqKzDAh4WddEy_zaOZbJLl3zk0K0SOl3HUHI6i569MI7UPY24NLyAoWOsvV1W5uW6g4mwmiFvvv64CdNawjc9KQBwzvQdNZ1ZJVekQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/img_1863.jpg?w=660)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania