Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa

Majeshi ya muungano yakiongozwa na jeshi la Saudi Arabia yamesitisha mashambulizi yake ya angani nchini Yemen, baada ya kuanza muafaka wa amani wa kusitisha mapigano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen,

 

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Serikali ya Tanzania kupambana na vitendo vya mashambulizi dhidi ya Albino

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mapya dhidi ya Al-Shabaab

Wanajeshi wa Muungano wa Afrika wakishirikiana na wanajeshi wa Somalia, wameanza mashambulizi mapya dhidi ya kundi la wanamgambo la Al Shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq

Rais Obama ametetea mashambulizi dhidi ya wanapiganaji wa kiisilamu nchini Iraq akisema yanapania kulinda maslahi ya wamerekani.

 

10 years ago

Vijimambo

BAN KI MOON ASIKITISHWA NA ONGEZEKO LA MASHAMBULIZI DHIDI YA WALINZI WA AMANI NA WATOA MISAADA YA KIBINADAMU

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon pamoja na washiriki wa hafla ya kuwakumbuka walinzi wa amani wakisimama kwa dakika moja kuwaenzi walinzi wa amani na watoa misaada ya kibinadamu ambao ni wafanyakazi wa umoja wa mataifa waliopoteza maisha wakati wa tetemeko kubwa la ardhi lililotokea nchini Haiti mwaka 2010 na wale ambao wamepoteza maisha kati ya Octoba 2013 na Novemba 2014.Ban Ki Moon akizungumza wakati wa hafla hiyo ambayo iliibua hisia na majonzi makubwa miongoni wa...

 

10 years ago

Michuzi

Ban Ki Moon asikitishwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani na watoaji wa misaada ya kibinadamu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon pamoja na washiriki wa hafla ya kuwakumbuka walinzi wa amani wakisimama kwa dakika moja kuwaenzi walinzi wa amani na watoa misaada ya kibinadamu ambao ni wafanyakazi wa umoja wa mataifa waliopoteza maisha wakati wa tetemeko kubwa la ardhi lililotokea nchini Haiti mwaka 2010 na wale ambao wamepoteza maisha kati ya Octoba 2013 na Novemba 2014.
Ban Ki Moon akizungumza wakati wa hafla hiyo ambayo iliibua hisia na majonzi makubwa miongoni wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakilishi Jimbo la Bububu Mhe BHAA akanusha tuhuma ya gari lake kuhusika mashambulizi dhidi ya Wanachama wa CUF

Mwakilishi wa Jimbo la Bububu Zanzibar Mhe Hussein Ibrahim Makungu akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tuhuma zanazoenezwa kwamba gari lake aina ya fuso kuhusika na kuwashambulia Wanachama wa CUF wakati wakirudi Mkutanoni makunduchi, Akitowa maelezo kwa waandishi wa habari katika ukumbi wa salama bwawani amesema gari hiyo iliotumika katika tukio hilo haiko katika milki yake, hiyo gari iliohusisha na tukio hilo aliiuzwa karibu sasa miaka minane na kumulikiwa na mtu mwengine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani