Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen
Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais
Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Raia waandamana dhidi ya Umoja wa Mataifa-Juba
Raia wa Sudan Kusini wameandamana mjini Juba dhidi ya Umoja wa Mataifa wakiishutumu kwa kuwapa waasi silaha
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Houthi kuendeleza mapigano,Yemen
Kiongozi wa waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutaka kuchukua taifa lao.
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Yemen yakabiliana na waasi wa Houthi
Wanajeshi wa serikali wameanzisha mashambulio makali yenye lengo la kuwafurusha waasi wa Kihouthi kutoka eneo moja lililokuwa kituo cha wanajeshi wa anga huko mjini Aden.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Waasi wa Houthi wachukua serikali Yemen
Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen,
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Houthi wateka maeneo zaidi Yemen
Maafisa wa usalama nchini Yemen wanasema waasi wa kundi la Houthi wameshikilia maeneo kadhaa ya mji wa tatu kwa ukubwa wa Taiz
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Yemen:Waasi wa Houthi wafurushwa kambini
Vikosi vinavyounga mkono serikali nchini Yemen vimechukua kambi kubwa ya wanahewa katika makabiliano na waasi wa Houthi ,msemaji wa vikosi hivyo ameambia BBC.
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Yemen:Houthi yakamia mji wa Aden
Marekani ilisema kuwa inaharakisha kuwasilisha silaha kwa majeshi ya muungano
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Waasi wa Houthi wadungua ndege ya kivita ya Saudi Arabia nchini Yemen
Waasi wa Houthi wamesema wameidungua ndege ya jeshi la Saudi Arabia, wakati Saudi Arabia ikisema ''ilianguka''.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania