Raia waandamana dhidi ya Umoja wa Mataifa-Juba
Raia wa Sudan Kusini wameandamana mjini Juba dhidi ya Umoja wa Mataifa wakiishutumu kwa kuwapa waasi silaha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen
Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais
Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.
10 years ago
Vijimambo15 Nov
UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA

Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.
UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....
11 years ago
Michuzi.jpg)
Tanzania yahudhuria mkutano wa tathmini ya Mkakati wa Umoja wa Mataifa dhidi ya ugaidi
Na Mwandishi Maalum, New York
Wakati wajumbe wanaoshiriki mkutano wa tathmini kuhusu Mkakati wa Umoja wa Mataifa dhidi ya ugaidi wakilaani matukio ya kigaidi yanayotekea katika nchi mbalimbali, baadhi ya wajumbe hao wametaka matukio hayo yasihusishwe na madhehebu ya dini iwayo yoyete ile.
Mkutano huo wa siku mbili umemalizika siku ya Ijumaa hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe....
10 years ago
Michuzi
UMOJA WA MATAIFA WAPITISHA KWA KAULI MOJA AZIMIO DHIDI YA UJANGILI WA WANYAMAPOLI

Na Mwandishi Maalum, New York
Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga...
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Mubarak:Raia waandamana Misri
Vikosi vya usalama nchini Misri vimepambana na waandamanaji 2000 karibu na eneo la Tahrir Square mjini Cairo.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Raia wa Jordan waandamana kupinga IS
Maelfu ya raia wa Jordan wameandamana mjini ,Amman,wakiunga mkono serikali yao katika vita dhidi ya kundi la Islamic State
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Raia waandamana kupinga ugaidi Tunisia
Tunisia inasema kuwa askari wa usalama wamemuuwa kiongozi wa kundi la wapiganaji, lilohusika na shambulio la makavazi
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa
Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania