Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMOJA WA MATAIFA WAPITISHA KWA KAULI MOJA AZIMIO DHIDI YA UJANGILI WA WANYAMAPOLI

Kifaru ni baadhi ya wanyamapori wanaotoweka kwa kasi duniani na hususani Afrika kusini mwa jangwa la Sahara kutokana na vitendo vya ujangili na biashara haramu za pembe zao. Jana Alhamisi Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja Azimio linalolenga kudhibiti Biashara haramu ya wanyama pori na maliasili nyingine
Na Mwandishi Maalum, New York
Kwa mara ya kwanza jana alhamisi Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa kauli moja, azimio la kihistoria linalolenga...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

AZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO LAPITISHWA KWA KAULI MOJA

Na Mwandishi Maalum, New York
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewashukuru wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kupitisha kwa kauli moja Azimio linalotaka pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwasilisha taarifa kuhusu watu wenye ualibino.
Azimio hilo na ambalo liliandaliwa kwa pamoja kati ya Wakilishi za Kudumu za Tanzania na Malawi katika Umoja wa Mataifa, limepitishwa siku ya Jumanne baada ya majadiliano ya kina na jumuishi...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA (AZIMIO NA. 69/246 LA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAHAKAMA 

 

  Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (United Nations) Mhe. Ban Ki-moon tarehe 16 Machi, 2015 alimteua Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kuwa Mwenyekiti wa jopo huru la wataalamu wa kutafuta ukweli zaidi juu ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Hayati Dag Hammarskjöld, kifo hicho kilichotokea kwenye ajali ya kusikitisha ya ndege mnamo tarehe 17-18 Septemba, 1961 maeneo ya Ndola,...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.

Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...

 

5 years ago

CCM Blog

WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Umoja wa Mataifa-Juba

Raia wa Sudan Kusini wameandamana mjini Juba dhidi ya Umoja wa Mataifa wakiishutumu kwa kuwapa waasi silaha

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa Kimila wapitisha Azimio la kumlinda Mtoto wa Kike

IMG_1623

Pichani juu na chini ni baadhi ya viongozi wa mila (Laigwanan na Laiboni) na akina mama mashuhuri (Ngaigwanan) wilayani Lolilondo wakisoma na kujadili azimio la pamoja la kumlinda mtoto wa kike kabla ya kulipitisha na kusaini wakati wa kongamano kubwa la siku mbili lililofanyika katika ofisi za halmashauri ya wilaya Ngorongoro, jijini Arusha.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

Na Modewji blog team

VIONGOZI wa kimila wa jamii ya Kimaasai na wanawake mashahuri wamepitisha Azimio la...

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA


Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.

UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania yahudhuria mkutano wa tathmini ya Mkakati wa Umoja wa Mataifa dhidi ya ugaidi

Na Mwandishi Maalum, New York Wakati wajumbe wanaoshiriki mkutano wa tathmini kuhusu Mkakati wa Umoja wa Mataifa  dhidi ya ugaidi wakilaani matukio ya kigaidi yanayotekea katika nchi mbalimbali, baadhi ya wajumbe hao wametaka matukio hayo yasihusishwe na madhehebu ya dini iwayo yoyete ile.  Mkutano huo wa siku mbili umemalizika siku ya Ijumaa hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani