Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa
Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Al Shabaab yateka msikiti Garissa
10 years ago
StarTV21 May
Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.
Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.
Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.
Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.
Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.
Kundi hilo kutoka Somalia...
10 years ago
TheCitizen18 Apr
From Passover to the Garissa varsity al-Shabaab massacre!
10 years ago
Vijimambo11 Apr
AL SHABAAB: WANAFUNZI WAANDAMANA KAMPALA
Wanafunzi waandamana Kampala kupinga ugaidi
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda wamefanya maandamano ya mshikamano na wenzao waliofikiwa na mkasa katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya hivi majuzi.Wanafunzi hawa wamepiga kwata hadi ubalozi wa Kenya nchini Uganda na kutoa rambi rambi zao.
Wanafunzi hao wa wa chuo kikuu cha Makerere mjini Kampala waliandamana wakisindikizwa na bendi moja huku wakipewa ulinzi na polisi kuelekea ubalozi wa Kenya.
Shambulio dhidi ya Chuo cha...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Al Shabaab:Wanafunzi waandamana Kampala
10 years ago
VijimamboAl Shabaab storms Garissa University College in Kenya; 30 hospitalized, hostages taken
Gunmen raided a Kenya university before dawn Thursday, firing indiscriminately and taking hostages. At least 30 people were hospitalized from the attack at Garissa University College, the Kenyan Red Cross said. Local media reported varying death tolls, but CNN was unable to confirm the exact count. The Somali-based Al Shabaab militant group claimed responsibility. By 11 a.m. local time (4 a.m. ET), six hours after the attack began, the fight to regain control of the university continued....
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Wayahudi waandamana dhidi ya wanamgambo
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen