Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa

Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yateka msikiti Garissa

Al Shaabab waliuteka msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa muda na kuonya wenyeji dhidi ya kuisaidia serikali ya Kenya na ujasusi

 

10 years ago

StarTV

Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.

Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.

Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.

Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.

Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.

Kundi hilo kutoka Somalia...

 

10 years ago

TheCitizen

From Passover to the Garissa varsity al-Shabaab massacre!

April 5 this year was Easter Sunday in Christendom. In that regard, many followers of the Christian faith celebrated the resurrection of Jesus Christ on the third day after He was crucified at Calvary, a hill near Jerusalem, the previous Friday - and a little more than 2000 years ago!

 

10 years ago

Vijimambo

AL SHABAAB: WANAFUNZI WAANDAMANA KAMPALA



Wanafunzi waandamana Kampala kupinga ugaidi
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda wamefanya maandamano ya mshikamano na wenzao waliofikiwa na mkasa katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya hivi majuzi.Wanafunzi hawa wamepiga kwata hadi ubalozi wa Kenya nchini Uganda na kutoa rambi rambi zao.
Wanafunzi hao wa wa chuo kikuu cha Makerere mjini Kampala waliandamana wakisindikizwa na bendi moja huku wakipewa ulinzi na polisi kuelekea ubalozi wa Kenya.
Shambulio dhidi ya Chuo cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab:Wanafunzi waandamana Kampala

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Makerere waliandamana mjini Kampala kuonesha umoja na wenzao wakenya waliuawa na magaidi huko Garissa

 

10 years ago

Vijimambo

Al Shabaab storms Garissa University College in Kenya; 30 hospitalized, hostages taken


Gunmen raided a Kenya university before dawn Thursday, firing indiscriminately and taking hostages. At least 30 people were hospitalized from the attack at Garissa University College, the Kenyan Red Cross said. Local media reported varying death tolls, but CNN was unable to confirm the exact count. The Somali-based Al Shabaab militant group claimed responsibility. By 11 a.m. local time (4 a.m. ET), six hours after the attack began, the fight to regain control of the university continued....

 

10 years ago

BBCSwahili

Wayahudi waandamana dhidi ya wanamgambo

Maelfu ya watu nchini Israeli wameshiriki kwenye maandamano wakiitaka serikali kuchukua hatua kali zaidi dhidi ya Wayahudi wanaotajwa kuwa wanamgambo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo

Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani