Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wayahudi waandamana dhidi ya wanamgambo

Maelfu ya watu nchini Israeli wameshiriki kwenye maandamano wakiitaka serikali kuchukua hatua kali zaidi dhidi ya Wayahudi wanaotajwa kuwa wanamgambo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UN Tanzania Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Wahanga wa Maangamizi Makuu ya Moto dhidi ya Wayahudi Jijini Dar leo

Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania Mh Egon Kochanke akitoa historia fupi ya wahanga wa maangamizi Makuu ya Moto Dhidi ya Wayahudi katika maadhimisho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Utamaduni wa Russia na kuandaliwa na Umoja wa Mataifa Tanzania. Afisa Habari wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Bi Usia Nkhoma akiwakaribisha wanafunzi wa shule za sekondari za jijini Dar pamoja na wanafunzi wa Vyuo Vikuu vilivyopo Jijini Dar ambavyo Kuna Klabu za Umoja wa Mataifa katika ukumbi wa utamaduni wa Russia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa

Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,

 

10 years ago

BBCSwahili

Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo

Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais

Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Houthi Yemen

Maelfu ya watu wameingia katika mitaa ya mji wa Yemen Sanaa katika maandamano ya kupinga waasi wa kishia wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia waandamana dhidi ya Umoja wa Mataifa-Juba

Raia wa Sudan Kusini wameandamana mjini Juba dhidi ya Umoja wa Mataifa wakiishutumu kwa kuwapa waasi silaha

 

11 years ago

BBCSwahili

Wayahudi wa Ethiopia walalamika

Mamilioni ya Wayahudi duniani kote wameadhimisha, Moja ya tamasha muhimu katika dini yao. Lakini kwa maelfu ya Wayahudi wa Ethiopia Mafalasha, hawana la kusherehekea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wayahudi na Waislamu waungana Norway

Zaidi ya watu 1000 wengi wakiwa waislamu wameunda mviringo na kulizunguka sinagogi nchini Norway kuonyesha umoja wao na wayahudi

 

11 years ago

BBCSwahili

Wayahudi wapewa usalama Ubelgiji

Mamlaka nchini Ubelgiji imeimarisha usalama katika makaazi ya wayahudi baada ya mtu aliyejihami kuwaua watu watatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani