Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.

Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.

Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.

Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.

Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.

Kundi hilo kutoka Somalia...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yateka msikiti Garissa

Al Shaabab waliuteka msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa muda na kuonya wenyeji dhidi ya kuisaidia serikali ya Kenya na ujasusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wavamia msikiti CAR

Kikundi cha vijana wakristo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wameharibu msikiti na kuweka vizuizi barabarani kwa kutumia magurudumu yenye moto mjini Bangui.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa

Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,

 

10 years ago

TheCitizen

From Passover to the Garissa varsity al-Shabaab massacre!

April 5 this year was Easter Sunday in Christendom. In that regard, many followers of the Christian faith celebrated the resurrection of Jesus Christ on the third day after He was crucified at Calvary, a hill near Jerusalem, the previous Friday - and a little more than 2000 years ago!

 

10 years ago

Vijimambo

Al Shabaab storms Garissa University College in Kenya; 30 hospitalized, hostages taken


Gunmen raided a Kenya university before dawn Thursday, firing indiscriminately and taking hostages. At least 30 people were hospitalized from the attack at Garissa University College, the Kenyan Red Cross said. Local media reported varying death tolls, but CNN was unable to confirm the exact count. The Somali-based Al Shabaab militant group claimed responsibility. By 11 a.m. local time (4 a.m. ET), six hours after the attack began, the fight to regain control of the university continued....

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

BBC

Where is the last Garissa victim?

Father's search for one of those killed in militant attack

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la Garissa, lilijulikana

Taarifa juu ya shambulio la kigaidi katika Chuo kikuu cha Garissa zilijulikana kabla ya tukio kutokea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani