Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.
Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.
Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.
Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.
Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.
Kundi hilo kutoka Somalia...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Al Shabaab yateka msikiti Garissa
11 years ago
BBCSwahili30 May
Vijana wavamia msikiti CAR
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa
10 years ago
TheCitizen18 Apr
From Passover to the Garissa varsity al-Shabaab massacre!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-bHl_MVifh-Y/VR0GXDS-D9I/AAAAAAAAAL8/7bIHwLasFoo/s72-c/150402010757-map-kenya-garissa-exlarge-169.jpg)
Al Shabaab storms Garissa University College in Kenya; 30 hospitalized, hostages taken
![](http://4.bp.blogspot.com/-bHl_MVifh-Y/VR0GXDS-D9I/AAAAAAAAAL8/7bIHwLasFoo/s1600/150402010757-map-kenya-garissa-exlarge-169.jpg)
Gunmen raided a Kenya university before dawn Thursday, firing indiscriminately and taking hostages. At least 30 people were hospitalized from the attack at Garissa University College, the Kenyan Red Cross said. Local media reported varying death tolls, but CNN was unable to confirm the exact count. The Somali-based Al Shabaab militant group claimed responsibility. By 11 a.m. local time (4 a.m. ET), six hours after the attack began, the fight to regain control of the university continued....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/8B7E/production/_84401753_976xdsc_0013.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Shambulio la Garissa, lilijulikana