Vijana wavamia msikiti CAR
Kikundi cha vijana wakristo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wameharibu msikiti na kuweka vizuizi barabarani kwa kutumia magurudumu yenye moto mjini Bangui.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV21 May
Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.
Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.
Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.
Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.
Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.
Kundi hilo kutoka Somalia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2AkSr8QP72kgiZv*z-MHlyenGPye*NqR11Wj1-SFZsyY8QSdYU84ZGYlCtqqKLn9FSrLbil0Asggzp9HGFIEyG/VURUGUMOMBASA12.jpg?width=650)
TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OCyHcf_ShvE/VY1lr5IjeBI/AAAAAAAAQIY/cFi8as_xZQk/s72-c/CAR%2B1.jpg)
MAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-OCyHcf_ShvE/VY1lr5IjeBI/AAAAAAAAQIY/cFi8as_xZQk/s640/CAR%2B1.jpg)
9 years ago
Habarileo14 Nov
Waalgeria ‘wavamia’ kambi
WAKATI timu ya Taifa ya Algeria chini ya Kocha wao Mfaransa, Christian Gourcuff ikiwa ‘mafichoni’ jana, kambi ya timu ya taifa haikuwa na ulinzi wowote huku maofisa na waandishi wa Algeria wakiingia watakavyo.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
‘Makahaba’ wavamia Dom
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Kaa wavamia ufuo wa Carlifornia
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Wezi wavamia nyumba ya Di Maria
11 years ago
BBCSwahili13 May
Mchwa wavamia ikulu Paraguay
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Wapiganaji wavamia bunge Libya