Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wavamia msikiti CAR

Kikundi cha vijana wakristo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wameharibu msikiti na kuweka vizuizi barabarani kwa kutumia magurudumu yenye moto mjini Bangui.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Al Shabaab wavamia msikiti Garissa.

Viongozi Kaskazini mwa Kenya wamesema kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi kutoka Somalia la Al Shaabab waliuvamia msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa masaa kadhaa.

Wapiganaji hao waliwahutubia waumini waliokuwa msikitini kwa karibu saa mbili kabla ya kutokomea mwituni.

Waliikosoa serikali ya Kenya na kuonya waumini dhidi ya kuwa majasusi wa serikali ya Kenya.

Mwezi uliopita Al Shaabab walivamia chuo kikuu cha Garissa na kuwaua watu 150 wengi wao wanafunzi.

Kundi hilo kutoka Somalia...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA

Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS

What will you do??????...You dropped your SUV at a car wash for it be washed and left. And by the time you came back, the car had been practically destroyed (Picture above) and the car wash is not insured or have license. An inexperienced driver with no driver license lost control of the SUV and smashed it into a fence. 



 

9 years ago

Habarileo

Waalgeria ‘wavamia’ kambi

WAKATI timu ya Taifa ya Algeria chini ya Kocha wao Mfaransa, Christian Gourcuff ikiwa ‘mafichoni’ jana, kambi ya timu ya taifa haikuwa na ulinzi wowote huku maofisa na waandishi wa Algeria wakiingia watakavyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makahaba’ wavamia Dom

“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kaa wavamia ufuo wa Carlifornia

Kaa wamevamia ufuo wa bahari wa California na kutengeza zulia la sentimita 40 kwa ukubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wezi wavamia nyumba ya Di Maria

Kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria ndio mwathiriwa wa hivi karibuni wa wizi wa kutumia mabavu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchwa wavamia ikulu Paraguay

Mchwa wamevamia ikulu ya Paraguay makaazi rasmi ya rais wa nchi hiyo na kutishia udhabiti wa jengo hilo la kihistoria

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wavamia bunge Libya

Watu waliokuwa wamejihami walivamia majengo ya bunge nchini Libya na kulazimisha wabunge kusitisha shughuli ya kumteua waziri mkuu mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani